Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,173
- 27,223
Habari zenu wana JF, leo ningependa kuzungumzia hawa watu wawili ambao wanaonekana wanaweza kupeperusha bendera ya upinzani.
Membe ni mtu mmoja msafi sana na hata umchafuaje hutaweza kwa kuwa ana utumishi uliotukuka na hii imepelekea kupata maadui wengi sana.
Upinzani kwa ujumla wake tunahitaji kuwa na Membe sasa kuliko wakati wowote ule, huyu ni mtu sahihi wa kutuvusha.
Membe sio mropokaji kama ilivyo Lissu, Membe ni msikivu sana na ana uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja.
Lissu kwa sasa bado sana ana makandokando mengi sana ambapo ni ngumu kuaminika na kumnadi kwa wananchi, wengi mnakumbuka alivyochemsha kwenye sakata la mchanga wa madini na kusema Tanzania itashitakiwa MIGA kitu ambacho hakikuwa kweli.
Hivyo huyu sio mtu sahihi kabisa kwa upinzani wakati huu, hivyo ni bora na mara 100 tukamuunga mkono Membe.
Kwa pamoja upinzani tutashinda
#2020 upinzani twende na Membe#
Membe ni mtu mmoja msafi sana na hata umchafuaje hutaweza kwa kuwa ana utumishi uliotukuka na hii imepelekea kupata maadui wengi sana.
Upinzani kwa ujumla wake tunahitaji kuwa na Membe sasa kuliko wakati wowote ule, huyu ni mtu sahihi wa kutuvusha.
Membe sio mropokaji kama ilivyo Lissu, Membe ni msikivu sana na ana uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja.
Lissu kwa sasa bado sana ana makandokando mengi sana ambapo ni ngumu kuaminika na kumnadi kwa wananchi, wengi mnakumbuka alivyochemsha kwenye sakata la mchanga wa madini na kusema Tanzania itashitakiwa MIGA kitu ambacho hakikuwa kweli.
Hivyo huyu sio mtu sahihi kabisa kwa upinzani wakati huu, hivyo ni bora na mara 100 tukamuunga mkono Membe.
Kwa pamoja upinzani tutashinda
#2020 upinzani twende na Membe#