zee_latown
Member
- Feb 21, 2026
- 57
- 125
niende moja kwa moja. mabinti wengi wana matumbo flat, wamekaukiana, ngozi na makalio magumu, hawana usoft wa kutosha, hawana mafuta, hawana makalio.
Sifa hizo tajwa kwangu sizitaki, wanawake wakubwa wana matumbo makubwa yana hang fulani kwa chini, halafu ni soft mno sijui ndo mnaita kitambi, yeah napenda hilo.
Pia wanawake wakubwa ni very soft.
Nimekuwa addicted kwa kuwa ni ngumu kupata mwanake wa sifa nilizotaja kwa binti wa miaka 25 au 30, so nalazimika kuwatafuta watu wazima kitu ambacho pia kinafanya nishindwe ku date na wasichana warembo.
Msaada wenu tafadhali
its an addiction, nimeona niweke wazi tu, id fake hizi jamani zinatunza heshima zetu sana
asanteni
Sifa hizo tajwa kwangu sizitaki, wanawake wakubwa wana matumbo makubwa yana hang fulani kwa chini, halafu ni soft mno sijui ndo mnaita kitambi, yeah napenda hilo.
Pia wanawake wakubwa ni very soft.
Nimekuwa addicted kwa kuwa ni ngumu kupata mwanake wa sifa nilizotaja kwa binti wa miaka 25 au 30, so nalazimika kuwatafuta watu wazima kitu ambacho pia kinafanya nishindwe ku date na wasichana warembo.
Msaada wenu tafadhali
its an addiction, nimeona niweke wazi tu, id fake hizi jamani zinatunza heshima zetu sana
asanteni