Nina ujauzito - nimekata tamaa

Nina ujauzito - nimekata tamaa

jack 1

Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
61
Reaction score
63
Ninaujauzito mwanaume kakataa mzazi wangu hataki hata kuniona na kasema nisikanyage kwake sina kazi nimeshindwa cha kufanya nimeona bora ninywe sumu tu nisameheni kwa maamuzi haya sina uelekeo.
 
Ninaujauzito mwanaume kakataa mzazi wangu hataki hata kuniona na kasema nisikanyage kwake sina kazi nimeshindwa cha kufanya nimeona bora ninywe sum tu nisamehen kwa maamuzi haya sina uelekeo

hahaaaaa! Unacheza na kifo eee! Haya bhana sisi tupo tuna subir mrejesho..... Kumbuka hakuna aliyekubaka ww mwenyew ulichanua miguu, ukaanaza kukata nyonga na miguno kibao sasa hvi unalia hahahaaaaaa! Hyo ndio chungu tamu. R.I.P jack 1
 
Pole sana hilo lilolokupata ninaihisi hali uliyona nirahisi sana kusema maneno kama wale waliyo nitangulia kwa sababu tu halijawapata ninaomba usinywe sumu yeyote ni pm nipe namba yako tutaongea vizuri
 
Unywe sumu kisa ni nini?
Yawezekana huyo mwanaume si kusudio la Mungu, Hata angekuoa msingedum hivyo mshukuru Mungu kwa Muujiza aliokutendea mpaka hapo ulipo kwani una afya Njema.
 
Tatizo ulikua unaikatikia hiyo dude mwenyewe. Hukubakwa ,uliona kondomu inawasha. Ukinya huku umesimama lazima mapaja yachafuke tu!! Kawasalimie kuzimu.
 
Ulizia namba ya mama Kijo Bisimba au Irene Kiria wakusaidie kumshughulikia huyo kidume. Lakini na nyie huwa hamjui siku zenu za hatari? Pole sana, kujiua haiwezi kuwa suluhisho kamwe.
 
Usifanye hivo najua unatatizika utaishi wapi huku na mimba nitumie namba ya huyo mwanaume alokuacha nikusaidie juu ya hili.... Pole sana Jack nitafute yataisha.
 
Sasa shoga ulivyopanua miguu bila condom ulitegemea nini...ningekupa pole km Ungekua umebakwa lkn kwa hiari yako hustahili pole we amua lolote cz utamu uliusikia wewe na shemeji..sisi hatukuwepo..kuna mambo ukifanya lzm ujiandae kwa lolote
 
Sio mpango huo. Una mikono 2 na miguu 2, unaweza kufanya kazi kabisa na maisha yakaendelea, why unawaza kifo? Unashindaje kabla hata ya mapambano? Nina video hapa ya mama hana mikono tote 2 na ana mtoto mchanga, JUST IMAGINE anamleaje? Kama una Whatsapp au Telegram ni pm nipe namba yako Nikutumie hiyo video huenda ikakupa moyo au ikakubadili mawazo yako. Pia kumbuka, kufa sio mwisho wa matatizo huenda ni mwanzo wa matatizo makubwa zaidi. Wewe ni Mtanzania mwenzetu, tunakupenda.
 
Back
Top Bottom