Nina swali jamani

Tamalisa

JF-Expert Member
Feb 3, 2015
2,542
903
Naamini wote ni wazima,kwa wale wagonjwa Mungu awape afya njema, wenye majonzi na wafarijiwe. Nina swali jamani samahani nauliza tu.

Hivi humu jukwani kuna watu hawana ubize kabisa, maana topic ikitupwa tu humu kuna watu hata robo sekunde haipiti wameshajibu.

Hivi hawa wenzetu hawana kazi au ndo kusema wamejiajiri na hata kama ndo kusema hizo shughuli zao haziwafanyi wawe bize kabisa, da binafsi sina muda yani hadi nipate huo muda wa kuchungulia.

Ukitoka ofisini pia ni full uchovu yani hata hamu ya kushika simu hakuna.natamani walau kwa siku nipitie ila wakati mwingine cku inapita hata sijachungulia. Au ndio kusema jukwaa la malavulavu hata uwe na shughuli kiasi gani ni bora uache na uje kwanza huku.
Ni swali tu jamani msinirushie vijiti.

Jioni njema.
 
Some of us got it made.

Mtu utawaza sana hivi huyu mbeba maboksi hayo maboksi anayabeba saa ngapi?

Manake kila muda yupo tu humu.

Funzo: usiige tembo kunya.....
 
Tupo Hapa, Ni Mpangilio Wako, We Mda Wako Wa Kupumzka Unajua Unafanya Nin Au Mda Wa Lunch Unaenda Kuusaka, Kwa Upande Wangu Mda Wa Kupumzka Napenda Kuingia Jf, Narefresh Sana Sana,
 
Wengine tupo unemployed,
Wenginee ndiio sehem yetu ya kupungia upepoooooooo
 
Tamalisa
Mdau Binafsi nakushangaa. Hata miezi miwili hujamaliza una posts 296, ni nyingi sana. Kuna members wengine wamejiunga Jamii Forums toka 2012 hawajafikisha idadi hiyo. ni wazi kabisa uko busy sana na Jamii Forums, nahisi hata hupumziki.
 
Last edited by a moderator:
Mdau Binafsi nakushangaa. Hata miezi miwili hujamaliza una posts 296, ni nyingi sana. Kuna members wengine wamejiunga JF toka 2012 hawajafikisha idadi hiyo. ni wazi kabisa uko busy sana na JF, nahisi hata hupumziki

Hiyo inaitwa nyani haoni kundule! Usiwaze sana hayo ni madhara ya kutenda kabla kufikiri.
 
Foleni nyingi maofisini hasa ya serikali zinasababishwa na matumizi ya social networks JF being one.
 
JF imewapatia ajira vijana, kwa hiyo wengine ndio ofisi yetu kama wewe huko ulipo, acha kudharau kazi yetu.
 
Tupo Hapa, Ni Mpangilio Wako, We Mda Wako Wa Kupumzka Unajua Unafanya Nin Au Mda Wa Lunch Unaenda Kuusaka, Kwa Upande Wangu Mda Wa Kupumzka Napenda Kuingia Jf, Narefresh Sana Sana,

umeona eee! Co wengne mida hyo wao ni umbea, unafk, majungu nakuwazia mabaya wenzao c ofcn, nyumbani (ndug kwa ndug), na mitaani.
 
Back
Top Bottom