Ndege Tausi
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 992
- 472
Sijakuelewa elezea stress ndio nini au inakuwaje?
Nitafute!Hello wanajamvi
Naomba mnisaidie ni jinsi gan naweza kuhandle stress yaan kuna muda inafika nakuwa siwezi fanya chochote
Umeachwa nini au una una hazina ya negative thoughts in your mind???Hello wanajamvi
Naomba mnisaidie ni jinsi gan naweza kuhandle stress yaan kuna muda inafika nakuwa siwezi fanya chochote
halafu hata mimi nina tatizo linanikosesha amani sanaUmeachwa nini au una una hazina ya negative thoughts in your mind???
Miss chagga huwa nakukubali lkn yule miss natafuta ni matatizoduh pole kama hujui chanzo basi kuna kitu unataka ujapata na hujui namna ya kukipata
SHKAMOO PESA . ..WALAHItafuta pesa stress zote zitakwisha siyo mnalala majumbani kama wagonjwa
fanyakazi acha kushnda nyumbani peke yako ndio maana BP zinashuka kwasababu ya hofu,mawazo na uogahalafu hata mimi nina tatizo linanikosesha amani sana
nina mawazo hasi wakati wote sielewi jinis ya kuyatoa...
hata nikicheka najiuliza sasa ndo nini...
sina amani kabisa
nikipanda gari nawaza litapata ajali
nikifanya kitu ni mawazo hasi tu...
nawezaje kuondokana na huu woga na wawiwasi
Asante mkuu .. nakukubali piaMiss chagga huwa nakukubali lkn yule miss natafuta ni matatizo
nitajitahidifanyakazi acha kushnda nyumbani peke yako ndio maana BP zinashuka kwasababu ya hofu,mawazo na uoga
Kuna kipindi inanitokeaga hali flani huzuni sio huzuni nakosa raha kabisa najihisi mpweke naweza nikaongea vitu ukaniona kama mjinga yaan sieleweki.Alafu sasa najikuta najaribu vileo labda vinaweza rudisha hali yangu kama ni bangi ntavuta sana pombe ntakunywa sana yaan ilimradi nipate kaunafuu.. inafikia hatua najichukia sana natamani hata nife tu Niondokane na hiyo hali roho huwa inaniuma sana..Ila nncho shukuru huwa inanitokea kwa kipindi inaweza ikanichukua hata wiki 2 ndo nije kuwa normal nakipindi chote hicho huwa napenda niwe pekee yangu tu sina hamu yakuwa na marifki au mtu yoyote..Sielewi inatokana na nini Najikuta tu iko ivohalafu hata mimi nina tatizo linanikosesha amani sana
nina mawazo hasi wakati wote sielewi jinis ya kuyatoa...
hata nikicheka najiuliza sasa ndo nini...
sina amani kabisa
nikipanda gari nawaza litapata ajali
nikifanya kitu ni mawazo hasi tu...
nawezaje kuondokana na huu woga na wawiwasi
Yaani stress ije tu bila chanzo!! Yo exceptional.Hakuna inatokea tuu
ukishndwa usisite kunitafta nikusaidienitajitahidi