kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Kwenye maisha ni kawaida kusikia kila binadamu Anapata stress kutoka na situations ambazo anapitia kwenye maisha yake
Lakini kwangu hali hiyo ni tofauti kabisa
Mimi sinaga hisia za kuumizwa na kitu chochote
Kila kitu nachukuliaga kawaida tu kiwe kigumu kwangu au chepesi akili yangu haiwezi kujisumbuwa kufikiria mpaka kukosa raha
Niliambiwa nikioa nitaanza kuchukulia vitu kwa umakini kwasasa nina mke lakini bado akili yangu iko vile vile tu na kweli kuna baadhi ya situation nakutana nazo za kunipa mawazo Ila kwangu icho kitu hakipo
Kama siwezi , siwezi kujisumbuwa
Mpaka kwasasa nimeanza kufikiria labda hali hii ni ugonjwa wa akili maana sifikiriagi vitu kwa umakini kama wenzangu kila ninacho kifanya
Nakifanya kwa ukawaida sana hata Kama ni kitu cha kufanya kwa umakini mkubwa
Je ili litakuwa tatizo ?
Lakini kwangu hali hiyo ni tofauti kabisa
Mimi sinaga hisia za kuumizwa na kitu chochote
Kila kitu nachukuliaga kawaida tu kiwe kigumu kwangu au chepesi akili yangu haiwezi kujisumbuwa kufikiria mpaka kukosa raha
Niliambiwa nikioa nitaanza kuchukulia vitu kwa umakini kwasasa nina mke lakini bado akili yangu iko vile vile tu na kweli kuna baadhi ya situation nakutana nazo za kunipa mawazo Ila kwangu icho kitu hakipo
Kama siwezi , siwezi kujisumbuwa
Mpaka kwasasa nimeanza kufikiria labda hali hii ni ugonjwa wa akili maana sifikiriagi vitu kwa umakini kama wenzangu kila ninacho kifanya
Nakifanya kwa ukawaida sana hata Kama ni kitu cha kufanya kwa umakini mkubwa
Je ili litakuwa tatizo ?