Nina shida ndugu zangu!

halelwa

Member
Aug 16, 2013
28
2
naomba msaada kufahamu hv 4.6l engine ulaji wake wa mafuta upoje litre moja inaenda kilometre ngapi?

ASANTE
 
Kaka nakushukuru sana kwa majibu yako mazuri!maana kuna jamaa hapa ameniponda Basi tu.mimi nat aka kuagiza Range Rover 4.6 ya mwaka 2002 ndio maana nikauliza!si unajua vitu kama hivi lazima uulize usije ukajuta kununua gari!Nashukuru sana kaka!vp wewe service unafanyia wapi?

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Kaka mbona unaguna vp?

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
engine za V8 na Chit chat wapi na wapi?

Kaka nakushukuru sana kwa majibu yako mazuri!maana kuna jamaa hapa ameniponda Basi tu.mimi nat aka kuagiza Range Rover 4.6 ya mwaka 2002 ndio maana nikauliza!si unajua vitu kama hivi lazima uulize usije ukajuta kununua gari!Nashukuru sana kaka!vp wewe service unafanyia wapi?Kaka nakushukuru sana kwa majibu yako mazuri!maana kuna jamaa hapa ameniponda Basi tu.mimi nat aka kuagiza Range Rover 4.6 ya mwaka 2002 ndio maana nikauliza!si unajua vitu kama hivi lazima uulize usije ukajuta kununua gari!Nashukuru sana kaka!vp wewe service unafanyia wapi?

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Napeleka gereji za wachina ama fortes ya wahindi

Kaka nakushukuru sana kwa majibu yako mazuri!maana kuna jamaa hapa ameniponda Basi tu.mimi nat aka kuagiza Range Rover 4.6 ya mwaka 2002 ndio maana nikauliza!si unajua vitu kama hivi lazima uulize usije ukajuta kununua gari!Nashukuru sana kaka!vp wewe service unafanyia wapi?

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Napeleka gereji za wachina ama fortes ya wahindi
Vp service zao na hiyo gari unayo kwa muda gani mpaka!Durability ya Gari ipoje!wewe unayo ya mwaka gani!


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Mwaka wa pili sasa
Kaka nitakutafuta unishauri zaidi mimi nakaa Kimara suka!kwa hiyo najua nikiweka mafuta ya elfu 30 naingia town na kurudi nyumbani kwangu kimara suka kaka huku njia ni mbovu balaa ndio maana nataka hiyo gari lakini naona kama ya kwako engine yake ni kubwa 5.0L hii ninayotaka 4.6L hope hii ulaji wake utakuwa chini ya hapo inaweza kuwa klm 7 au 8.


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Gari kwa ulaji wa mafuta bongo ni kasheshe;
na ukiendekeza hautafanya maendeleo mengine
utabaki kuungisha akina Bishanga kwenye vituo vyao
vya kunyonyea mafuta tu, looooh.
 
Last edited by a moderator:
Gari kwa ulaji wa mafuta bongo ni kasheshe;
na ukiendekeza hautafanya maendeleo mengine
utabaki kuungisha akina Bishanga kwenye vituo vyao
vya kunyonyea mafuta tu, looooh.
Unavyokiri ndivyo utakavyopokea!


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom