Habari za Uzima Ndugu zangu.
Mimi ni Kijana wa Kiume Mwenye Umri wa Miaka 26 Nina Usikivu Hafifu. Hali hii imenifanya Nakosa Kazi / Mishe.
Juzi Niliitwa kwenye Usaili Kwenye Kampuni Ya Ulinzi Ya
"Ws insight Security" iliyopo Msasani. Usaili Nilifanya Vizuri Lakini walipogundua Nina Usikivu Hafifu Wakanikataa. Kiukweli Niliumia sana, Maana Nilitegemea Hiyo kazi niweze Kupata Mtaji wa Biashara.
Kwenye Kampuni Nyingine ya insight iliyopo Mwembe Yanga Boss Wao pia Akanikataa. Daah.
Ndugu zangu kwa kifupi Mimi Nimesoma Mpaka kidato Cha Sita.
Ada ilikosekana ya Chuo hivyo nikaingia Mtaani Kupambana.
Nimehangaika Sana Huku na huku Bila Mafanikio.
Wahenga walipata kusema "Mficha Uchi Hazai" hivyo
Ndugu zangu Naombeni Mnisaidie.
Kazi Yoyote ya Halali Nitafanya.
Nipo Chini ya Miguu Yenu Ndugu zangu. Naombeni Mnisaidie Mimi Mdogo Wenu.
Naishi Temeke, Dar es Salaam.
Mimi ni Kijana wa Kiume Mwenye Umri wa Miaka 26 Nina Usikivu Hafifu. Hali hii imenifanya Nakosa Kazi / Mishe.
Juzi Niliitwa kwenye Usaili Kwenye Kampuni Ya Ulinzi Ya
"Ws insight Security" iliyopo Msasani. Usaili Nilifanya Vizuri Lakini walipogundua Nina Usikivu Hafifu Wakanikataa. Kiukweli Niliumia sana, Maana Nilitegemea Hiyo kazi niweze Kupata Mtaji wa Biashara.
Kwenye Kampuni Nyingine ya insight iliyopo Mwembe Yanga Boss Wao pia Akanikataa. Daah.
Ndugu zangu kwa kifupi Mimi Nimesoma Mpaka kidato Cha Sita.
Ada ilikosekana ya Chuo hivyo nikaingia Mtaani Kupambana.
Nimehangaika Sana Huku na huku Bila Mafanikio.
Wahenga walipata kusema "Mficha Uchi Hazai" hivyo
Ndugu zangu Naombeni Mnisaidie.
Kazi Yoyote ya Halali Nitafanya.
Nipo Chini ya Miguu Yenu Ndugu zangu. Naombeni Mnisaidie Mimi Mdogo Wenu.
Naishi Temeke, Dar es Salaam.