elvis richard
Senior Member
- Dec 6, 2014
- 195
- 205
Nina kiwanja nataka kuchukulia mkopo kwenye benki, lakini kiwanja hiki hakijapimwa. kilichopo ni zile documents tulizoandikishiana kwa balozi.
sasa nilikuwa nauliza kama naweza pata mkopo kwa kiwanja hicho ili niweze kuanzisha biashara.
Msaada wenu..
sasa nilikuwa nauliza kama naweza pata mkopo kwa kiwanja hicho ili niweze kuanzisha biashara.
Msaada wenu..