Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,160
- Thread starter
- #81
Labda itakuwa jamaa kanywa supu ya pweza kaamua kumpa furaha mdada wa watu
kumbe ndo huwa unavyofanya eeh
Labda itakuwa jamaa kanywa supu ya pweza kaamua kumpa furaha mdada wa watu
hutaki awe wifi yako?
Hehehe! Mimi ukiniachia kakinisumbua nakaacha kwa jirani hapo nyumba ya pili...yaani kula hakataki kuoga balaa na kulala taabu daaah hebu kesho nikuachie nisije nikakaweka kwenye fridge mapema haya.....
nafurahi kusikia hivyo nilikuwa na wasi vile wine ilikuwa imepitiliza kwa mkichwa.....endelea kupata raha kama mamito hapo
mhh kumbe huwa una romantic words
na e unampeleka api?
Nakuonea wivu ujue lolhahahaha yani imezidi maelezo ni raha kweeeli
Hapa ndo nyumbani kwake, jitahidi uifanye hiyo furaha yako idumu maana sisi wanaume ni machepele sometime
nimecomfirm uko naye kwa b
saana,siusemei moyo lakini huyu ni wa utofauti sana
Nakuonea wivu ujue lol
nitonye..Kakupa nini mama au kapiga vitu vya hatari mpaka umesuhuzika?
awepo huku anafanya nini?
Kakupa nini mama au kapiga vitu vya hatari mpaka umesuhuzika?
kumbe ndo huwa unavyofanya eeh
Hehehe! Mimi ukiniachia kakinisumbua nakaacha kwa jirani hapo nyumba ya pili...
Sasa mie hapa niko peke angu, hiyo raha ntaipataje?..lol
ohooo! We shauri yako. Anyway I'm still experiencing Eat & run
ni mapenzi tu hakuna zaidi
Funga ndoa,after 5 years uje tena ushuhudie!
Hiyo lishe mojawapo ni sawa na booster pale chenga zinapokuwa nyingi kwenye screen