famicho
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,192
- 2,823
Habari wanajamvi,
Kwa kweli nina tatizo la kupendwa na wake za watu, na mpaka hapa nishachangia kuvunja ndoa tatu katika maeneo tofauti.
Na kwa sasa kuna wawili wananiwinda kwa udi na uvumba. Mmoja kati yao amesema yupo tayari tukacheki kwanza afya, baada ya hapo anataka nimpe ujauzito kwani mume wake inaonekana ana matatizo ya kizazi.
Nimeleta humu ili mnijibu, je hii hali inayonikuta inasababishwa na nini? Na pia naombeni ushauri ni kwa jinsi gani naweza jikwamua kutoka katika hali hii, kwa maana naumia sana na haya mambo, hata amani sina maana najiona ni mkosefu na mtenda zambi kuu, hivyo sitaki kuendelea na hizi habari.
Karibuni kwa ushauri, nishaurini bila kunionea aibu wala upendeleo.
Kwa kweli nina tatizo la kupendwa na wake za watu, na mpaka hapa nishachangia kuvunja ndoa tatu katika maeneo tofauti.
Na kwa sasa kuna wawili wananiwinda kwa udi na uvumba. Mmoja kati yao amesema yupo tayari tukacheki kwanza afya, baada ya hapo anataka nimpe ujauzito kwani mume wake inaonekana ana matatizo ya kizazi.
Nimeleta humu ili mnijibu, je hii hali inayonikuta inasababishwa na nini? Na pia naombeni ushauri ni kwa jinsi gani naweza jikwamua kutoka katika hali hii, kwa maana naumia sana na haya mambo, hata amani sina maana najiona ni mkosefu na mtenda zambi kuu, hivyo sitaki kuendelea na hizi habari.
Karibuni kwa ushauri, nishaurini bila kunionea aibu wala upendeleo.