famicho
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,158
- 2,699
- Thread starter
- #41
Hapana mkuu, huwa sipendi kabisa na sina mazoea hayo, na sina mazoea na wanawake kabisa kwani olevel na advance nimesoma boys school na chuo kulikuwa na idadi ndogo sana ya wanawake(ratio 1 man : 10 women) na katika familia tumezaliwa wanaume tupu.Unapenda kupiga stori na wanawake wa watu na kuwapa umbeya. Jichunguze. Siku zote mwanamme au mwanamke akimzoea mke au mume wa mtu, stori za kawaida zikiisha huwa kinachofuata ni kutongozana. Na ndiyo sababu hata wanawake au wanaume wa watu hulala sana na marafiki wa wapenzi wao panapotokea mazowea yasiyo na mipaka.