binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 8,920
- 22,371
Mungu huyu wa kwenye Biblia sio wa aina hiyo.
Uyu kenge anampamba mwanaume mwenzake atakuwa sio rizikiWALE WALE TU, LUMUMBA FC>>> Rais Magufuli hahusiki kwa lolote mnalomsema baya
>>>Walipanga maovu na ndio wanayoyafanya sasa kudhoofisha Serikali
>>Chadema acheni huu mchezo hili Taifa letu sote
>>Tetesi: - Siri ya CCM kushinda majimbo matatu ya Ubunge
>>Sivyo kama mnavyomfikiria Rais Dr. Magufuli
>>Huwezi ukawa na akili ndogo ukamuelewa Dr Magufuli kile anasema au kufanya
>>Serikali iwe makini na Lissu maana hana cha kupoteza
>>Kufilisika mabenki sio uchumi umetikisika ila kuna watu watafungwa maisha
Amuuwe na lisu kwa neno maana mkuundu gu yangu ameonekana sana kukerwa na lisu haswa kwenye hizi thread ulizo ambatanishaWALE WALE TU, LUMUMBA FC>>> Rais Magufuli hahusiki kwa lolote mnalomsema baya
>>>Walipanga maovu na ndio wanayoyafanya sasa kudhoofisha Serikali
>>Chadema acheni huu mchezo hili Taifa letu sote
>>Tetesi: - Siri ya CCM kushinda majimbo matatu ya Ubunge
>>Sivyo kama mnavyomfikiria Rais Dr. Magufuli
>>Huwezi ukawa na akili ndogo ukamuelewa Dr Magufuli kile anasema au kufanya
>>Serikali iwe makini na Lissu maana hana cha kupoteza
>>Kufilisika mabenki sio uchumi umetikisika ila kuna watu watafungwa maisha
Kaka TumainiEl,Jamani miaka 20 imepita naninachokiona kinanitisha.
Tukio la kwanza nipale nikiwa shule ya msingi miaka 20 iliopita kuna kijana alinivua nguo nakunichania nguo ya ndani. Jambo lile alikuniacha na furaha nililia sana nakumshitakia kwa Mungu leo hii nasikia yule kijana na yeye alichanganyikiwa na kuvuwa nguo mtaani nakutembea uchi. Nikashituka sana.
Tukio jingine nilimuota mtu amekufa kifo kibaya sana nikaona ndoto siku nikasikia sauti inaniambia mwambie akifa utadaiwa basi mimi kwa roho ya ugumu nikamwambia utakufa acha njia yako.. Same year before end akafa kifo kibaya kwa kugongwa gar na ubongo kupasuka airport.
Nikiwa shuleni A level akatokea mtu ananitishia maisha nikakosa amani sana. Siku moja muda wa jioni nikakutana naye uso kwa uso ajabu nikaona machoyangu yanatoa miale ya moto nakusema maneno makali kwa yule kijana kirohoni pasipo sikia kweli haikupita week jamaa akafukuzwa shule kama mbwa.
Mtu mmoja alie kuwa mlez wetu maanasikuwa na wazazi alitutesa kweli jaman eee yaniachoz yanatisha leo hii hadi namuonea huruma.
Kazini kwangu sikumoja nafika kiongoz wa ngazi yajuu akanipigia sim nakuniambia niache kaz ama atanishusha daraja maana amechoka na mim mimi nikawa mnyonge na kujiuliza nimefanya nini sikumjibu nikamkabidh kwa Mungu ninavyo andika hali yake yule boss inatia huruma yeye ndie alishushwa na ni yeye anatamani acha kazi inatisha sana.
Mh Rais kabla yakuwa rais wala kujulikana niliandika Rais ajaye na kweli ndie hyu tulie nae.
Nilipata kazi kwakusimama kwenye jengo la kampuni kwakusema nataka kufanya kazi hapa jaman same job nikapata kwa miujiza.
Mtu mmoja akatengeneza zengwe nifukuzwe kazi kwakuwa yeye alikuwa na uwezo na anajuwana na wakubwa kulichotokea mpaka kesho nashangaa yeye na kundi lake wakafukuzwa kazi mm nikabaki.
Nilimwambia mtu wangazi ya chini utapandacheo miaka ikapita siku na shangaa amepanda cheo japo yeye alikuwa hataki. Lakini akapanda cheo.
Nikimwambia mtu acha usiende hivi kweli akikataa lazima yampate madhara.
Najiona sina nguvu zakawaida maana siku moja nilisimama kwenye shamba la wazazi wangu lilo dhulumiwa miaka 24 iliopita nakusema maneno mazito kiasi nikaapa kama shamba lile tusingerudishiwa majira ya mchana kweupe basi Mungu wangu angekuwa sio Mungu namwamini. Jaman amini usiamini mchana kweupe saa saba yule mvamizi alitolewa kwenye ile nyumba mtaa mzima ukakumbuka maneno yangu nakusema yule kijana sio wakawaida.
Sijasahau kuandaa karam nzito ikulu na wakati wakubwa wakila wakasema mimi ndio nimeanda wakasifia sana sijajuwa maana ya ile ndoto mpaka leo.
Ninanguvu za ajabu naomba msaada
asinisahau na mie kwa kweliEbu ongea kwa jabza kuhusu mimi kua nitakua tajiri dunia nzima zaidi ua hao waliotangulia..nasubr nguvu zako tafadhali