1. Ukubwa wa eneo eka Mbili | 4900m2*2 | ||||||||||
2. Spacing 45cm x 80 cm (shimo kwa shimo; mstari kwa mstari) | |||||||||||
Idadi ya miche/ Mbegu zinazotakiwa= ukubwa wa eneo/ nafasi | 11400*2 | mbegu/miche | |||||||||
Idadi ya Mavuno: Kila mche utazaa matunda 3, | Jumla ya matunda | 68400 | |||||||||
Jumla ya mauzo yanayotegewa toka katika matunda 34200@ tsh 3000 | 205200000 | tsh | |||||||||
GHARAMA | TSH | ||||||||||
1. Mbegu, kutoka east west seed company mbegu 80 ni tsh 2500, kwa hiyo mbegu 11400*2? | 712500 | tsh | |||||||||
2. Gharama ya kulima shamba na kuandaa matuta | 400000 | tsh | |||||||||
3. Mbolea ya kupandia DAP mifuko 6, maana kila shina linahitaji gram 5, so kwa mashimo 11400*2? | 390000 | tsh | |||||||||
4. Booster kama Polycoffee/Polyfeed kilo 2 inatosha | 20000 | TSH | |||||||||
5. Mbolea ya kukuzia kama Urea Mifuko 6@ tsh 70000 | 420000 | tsh | |||||||||
6. Gharama ya Madawa lita 2 ya Phyrinex/ Dursaban | 50000 | tsh | |||||||||
7. Gharma ya matandazwa/Mulching | 200000 | tsh | |||||||||
8. Gharama ya vibarua 2 kwa siku 90 kila mmoja 3000tsh Kwa siku | 1080000 | tsh | |||||||||
9. Gharama ya usafiri Fuso 4@ 600,000 tsh | 2400000 | tsh | |||||||||
10.Gharma ya miundo mbinu ya maji | 1000000 | tsh | |||||||||
11.Mafuta lita 10 kila siku, kwa siku 90, kila lita 2500 | tsh | 2250000 | tsh | ||||||||
Jumla ndogo | 8922500 | tsh | |||||||||
tsh | |||||||||||
JUMLA KUU YA GHARAMA | 8922500 | tsh | |||||||||
FAIDA KAMILI (JUMLA YA MAUZO -JUMLA YA GHARAMA) | 196,277,500.00 | tsh |