tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Wakuu habari za leo? Mara nyingi nimekuwa nikikumbana na hilo jibu "nina mtu"...
Hii hutokea baada ya kufanya juhudi nyinginezo za kumuweka mtu karibu, nimekuwa mtu wa kukata tamaa sana...licha ya ushauri niliowahi kuupata Msaada; Nahisi kuishiwa mbinu
Ninachojiuliza
1. Je inawezekana kuwa na mtu ambaye ana mtu kabisa?
2. Nifanyeje na wewe huwa unafanyeje ukutanapo na jibu kama hili?
3. Je watu wanaingia kwenye mahusiano kwasababu tu hawana watu?
Naombeni ushauri wenu, maana kuna mdada nampenda na nimejitahidi kumuweka karibu...lakini jana kaniambia anaouita ukweli wake "ana mtu"...nimeshindwa nifanyeje mpaka muda huu.
Hii hutokea baada ya kufanya juhudi nyinginezo za kumuweka mtu karibu, nimekuwa mtu wa kukata tamaa sana...licha ya ushauri niliowahi kuupata Msaada; Nahisi kuishiwa mbinu
Ninachojiuliza
1. Je inawezekana kuwa na mtu ambaye ana mtu kabisa?
2. Nifanyeje na wewe huwa unafanyeje ukutanapo na jibu kama hili?
3. Je watu wanaingia kwenye mahusiano kwasababu tu hawana watu?
Naombeni ushauri wenu, maana kuna mdada nampenda na nimejitahidi kumuweka karibu...lakini jana kaniambia anaouita ukweli wake "ana mtu"...nimeshindwa nifanyeje mpaka muda huu.