Hapo ni mikeka tu ndio itakayokutoa,timu mbilimbili deile
Tupe mazingira ya biashara hii, na eneo wapi tunapata...?Fungua goli la Mishikaki na ndizi pilipili Kama yote mkuu,
Utakuja kunishukuru
Ningekuwa mimi ndio wewe ningenunua broiler wangu watatu nikawakaanga weka kwenye container la plastic na chachandu .Piga tai na kitambaa na tissue zangu ni bar to bar mpaka miguu iume.
Hili nalo wazo zuri ashindwe yeye tu mtoa madaChoma mahindi
Uza machungwa kwa siku unalaza 20 kama faida
Choma mahindi
Hayo machungwa anauzia wapi ili apate hio helaUza machungwa kwa siku unalaza 20 kama faida