Nina mpenzi wangu

Nina mpenzi wangu

Cha peke yako kaburi tu, hapa duniani ni kubanana mwanzo mwisho..komaa nae mpaka kieleweke.
 
Salam Wakuu!
Kwa kweli miaka ya nyuma nilikuwa napata wakati mgumu sana ninapomtongoza mwanamke halafu anajibu simple tu 'Nina mpenzi wangu'
Nilikuwa nahisi kuishiwa nguvu mwili mzma Mwisho wa siku nakosa totoz kwa sababu stimu za kuendelea kumuimbisha zinakata kabisa!
Wenzangu mlikuwa mnasolve vp mkikutana na jibu kama hili?
siku hizi haipo sana...zamani nilikuwa nikisikia hivo napotezea naishiwa nguvu...ila baadae nikawa mzoefu hata nikisikia hiyo bado nafanikiwa kugegeda...siku hizi haaa limepotea aisee.....technology hiyo
 
Salam Wakuu!
Kwa kweli miaka ya nyuma nilikuwa napata wakati mgumu sana ninapomtongoza mwanamke halafu anajibu simple tu 'Nina mpenzi wangu'
Nilikuwa nahisi kuishiwa nguvu mwili mzma Mwisho wa siku nakosa totoz kwa sababu stimu za kuendelea kumuimbisha zinakata kabisa!
Wenzangu mlikuwa mnasolve vp mkikutana na jibu kama hili?

Mimi mwanamke akinijibu nina mpenzi wangu siendelei kutongoza kama simaanishi kwa sababu uhakika wa kumpata ni 100%, Bora akuambie yupo single ujue una competition
 
Wa
siku hizi haipo sana...zamani nilikuwa nikisikia hivo napotezea naishiwa nguvu...ila baadae nikawa mzoefu hata nikisikia hiyo bado nafanikiwa kugegeda...siku hizi haaa limepotea aisee.....technology hiyo
Watoto wakike wapo wengi cku hzi, akidengua imekula kwake
 
Mimi mwanamke akinijibu nina mpenzi wangu siendelei kutongoza kama simaanishi kwa sababu uhakika wa kumpata ni 100%, Bora akuambie yupo single ujue una competition
Daah sa itakuaje, kuna binti mzuri maeneo ya home nimejaribu kumueleza ukweli kuhusu hisia zangu naye kajibu nna mpenzi wangu.. Ila sijakata tamaa namuhitaji kama wife wangu wa badae
 
Hivi siku hizi bado kuna jibu la aina hiyo?! Mi najua siku hizi inaitwa 'Gusa unate'!!
Kwanza siku hizi nasikia hata maneno ya kutongozea yamepungua!!
 
Daah sa itakuaje, kuna binti mzuri maeneo ya home nimejaribu kumueleza ukweli kuhusu hisia zangu naye kajibu nna mpenzi wangu.. Ila sijakata tamaa namuhitaji kama wife wangu wa badae
Mpotezee kuhusu kumtongoza kabisa, we endelea kumsifia na kumsalimia, polepole utamsikia. Usiwe na haraka sana, Mwanamke kukupa moyo wake kwa anayejielewa huwa siyo haraka sana kivile, otherwise kama anatengeneza spare.
 
Hayo mambo ya kawaida sana.

Na mara nyingi mrembo anajiwekea mazingira ya kutosumbuliwa na kutoonekana rahisi/Maharage ya Mbeya.

Dawa kama una nia nae kweli, wewe endelea kuwa king'ang'anizi.

Baadae kinaeleweka.

Sio ukitolewa nje mara moja unakata tamaa.

Nikirudi kwako wewe muhusika, wewe kesi yako ni nyingine kwa kipindi hicho ilikuwa bado mgeni wa totoz.

Sio kesi, kawaida, mwanzo mgumu
 
Salam Wakuu!
Kwa kweli miaka ya nyuma nilikuwa napata wakati mgumu sana ninapomtongoza mwanamke halafu anajibu simple tu 'Nina mpenzi wangu'
Nilikuwa nahisi kuishiwa nguvu mwili mzma Mwisho wa siku nakosa totoz kwa sababu stimu za kuendelea kumuimbisha zinakata kabisa!
Wenzangu mlikuwa mnasolve vp mkikutana na jibu kama hili?

Mi nilikua najibu poa haina noma, halafu nampa mikausho kinyama mpaka atajuta afu baada ya muda lazima akutafute.
 
Kweli kabisa nilikuwa mgeni wa mambo haya yani nikijibiwa hivo ndo basi tena naghairi mapambano
Hayo mambo ya kawaida sana.

Na mara nyingi mrembo anajiwekea mazingira ya kutosumbuliwa na kutoonekana rahisi/Maharage ya Mbeya.

Dawa kama una nia nae kweli, wewe endelea kuwa king'ang'anizi.

Baadae kinaeleweka.

Sio ukitolewa nje mara moja unakata tamaa.

Nikirudi kwako wewe muhusika, wewe kesi yako ni nyingine kwa kipindi hicho ilikuwa bado mgeni wa totoz.

Sio kesi, kawaida, mwanzo mgumu
 
Back
Top Bottom