NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,397
Kwa style hii sikupi........Fanya Unipe mkataba wa kudumu kwenye jimbo lako
Kwa style hii sikupi........Fanya Unipe mkataba wa kudumu kwenye jimbo lako
Haya basi tubadili fomula..Kwa style hii sikupi........
siku hizi hawachelewi kukufanya kidumu, mpenzi akizingua unapandishwa daraja.Katika pita pita zangu hilo neno sijalisikia mda mrefu kidogo
Nadhani siku hizi limeacha kutumika.
Sasa huyu anajiuza......yani ubadilishe maneno kama kichaa kisa burungutuUkiona amekujibu kuwa ana mpenzi jifanye unaondoka alafu toa burungutu la pesa linyooshe kwa juu huku unaondoka, atakuita fasta nakukwambia sina mtu nilikuwa nakutania
Kutongoza suna kwa mwanaume, labda kama mwenzetu umekua jogooMpaka leo unatongoza we kweli unajipya
Lipo Mkuu ila inabidi utumie technique ya ziada kumteka mremboHivi Hilo neno lipo kweli....???
Aiseee.... Kwa Hawa hawa dada zetu au wengine...???Lipo Mkuu ila inabidi utumie technique ya ziada kumteka mrembo
Kwa hawa hawa🙂🙂Aiseee.... Kwa Hawa hawa dada zetu au wengine...???
Duh .....Kwa hawa hawa🙂🙂
Salam Wakuu!
Kwa kweli miaka ya nyuma nilikuwa napata wakati mgumu sana ninapomtongoza mwanamke halafu anajibu simple tu 'Nina mpenzi wangu'
Nilikuwa nahisi kuishiwa nguvu mwili mzma Mwisho wa siku nakosa totoz kwa sababu stimu za kuendelea kumuimbisha zinakata kabisa!
Wenzangu mlikuwa mnasolve vp mkikutana na jibu kama hili?