- Thread starter
- #61
But historia haifutiki ukizingatia Mimi nimejua sasa hivi"Life is changes" - Best Naso.
But historia haifutiki ukizingatia Mimi nimejua sasa hivi"Life is changes" - Best Naso.
Ya nyuma achana nayo ,wewe anzia ulipokutana naye ,hakuna mwanamke utakayekuja kuoa ndiyo wewe uwe wa kwanza,wengi wanakuwa washapitia mbigwa mbigwa za mjini ,anajaza hata ki-Hiace body counts.But historia haifutiki ukizingatia Mimi nimejua sasa hivi
Mimi nilimchumbia kabla hajaenda chuo tayari Nilikua nimepeleka mahali kwaoYa nyuma achana nayo ,wewe anzia ulipokutana naye ,hakuna mwanamke utakayekuja kuoa ndiyo wewe uwe wa kwanza,wengi wanakuwa washapitia mbigwa mbigwa za mjini ,anajaza hata ki-Hiace body counts.
Jamani jamani mbona mambo yamepita hayoNimegundua amenichiti sana kipindi anasoma chuo miaka mitatu imepita nimejua leo baada ya kufungua akaunti ya Facebook aliyo kuwa anatumia wakati huo yupo chuo na kusoma mesenja za zamani walivyo kuwa wanapeana mautamu moyo wangu unamaumivu so kawaida
Ni kweli yamepita ila kwangu ni mapya maana nimejua leoJamani jamani mbona mambo yamepita hayo
Usifanye hivo utajiharibia wewe mwenyeweNi kweli yamepita ila kwangu ni mapya maana nimejua leo
Nipe namba yake niseme naeNimegundua amenichiti sana kipindi anasoma chuo miaka mitatu imepita nimejua leo baada ya kufungua akaunti ya Facebook aliyo kuwa anatumia wakati huo yupo chuo na kusoma mesenja za zamani walivyo kuwa wanapeana mautamu moyo wangu unamaumivu so kawaida
Fimbo ya mbali haiui nyoka.Mimi nilimchumbia kabla hajaenda chuo tayari Nilikua nimepeleka mahali kwao
📌Ni swala la muda tu, ex hatongozwi ni mwendo wa kupasha MAKABICHI!!!Kwa sasa yupo vizuri shida ni hizo tabia za chuo
Mtu kama hajapita chuo huwa hawaelewi mbaga za chuo.Unamchumbia demu wa chuo.! Vijana mnachekesha sana 😀😀
Ukiwa muongo unahisi Kila mtu ni muongoChai