Nina mpango wa kumtelekeza mke

Nina mpango wa kumtelekeza mke

[QUOTE="ndalaweya, post: 56261262, member: 830316"5]
Nimegundua amenichiti sana kipindi anasoma chuo miaka mitatu imepita nimejua leo baada ya kufungua akaunti ya Facebook aliyo kuwa anatumia wakati huo yupo chuo na kusoma mesenja za zamani walivyo kuwa wanapeana mautamu moyo wangu unamaumivu so kawaida
[/QUOTE]

mlikua wapenz kipindi hicho ?.

kama mlikua wapenzi ni uamuz wako umsamehe au umwache ni vile utapendelea.

ila kama hakuampenz wako haina haja saaana ya kuumia.

{ hiyo post haijaelezea sana }
 
[QUOTE="ndalaweya, post: 56261262, member: 830316"5]
Nimegundua amenichiti sana kipindi anasoma chuo miaka mitatu imepita nimejua leo baada ya kufungua akaunti ya Facebook aliyo kuwa anatumia wakati huo yupo chuo na kusoma mesenja za zamani walivyo kuwa wanapeana mautamu moyo wangu unamaumivu so kawaida

mlikua wapenz kipindi hicho ?.

kama mlikua wapenzi ni uamuz wako umsamehe au umwache ni vile utapendelea.

ila kama hakuampenz wako haina haja saaana ya kuumia.

{ hiyo post haijaelezea sana }
[/QUOTE]
Tulikuwa
 
Nimegundua amenichiti sana kipindi anasoma chuo miaka mitatu imepita nimejua leo baada ya kufungua akaunti ya Facebook aliyo kuwa anatumia wakati huo yupo chuo na kusoma mesenja za zamani walivyo kuwa wanapeana mautamu moyo wangu unamaumivu so kawaida
Acha wivu yaliyopita yamepita ganga yaliyopo na yanayokuja
 
Ukimtelekeza ndio suluhisho ?
Unamuachia nani ? Pambana na hali yako, huyo ndio chaguo lako !!!

Mbunye haichungwi, akiamua analiwa kila siku na hutojua !

Nilikua nimemchumbia na kila wiki alikuwa anakuja geto maana alikuwa anasoma SAUT mbeya Mimi nakaa tunduma nauli ilikuwa elfu nne
Dahl, kumbe hakuwa mkeo? Yaani hilo nalo mpaka uje utusumbue hapa?
 
Pole sana 😢
Sijui ulikua unafukunyua nini huko
Kama ni mambo ya kale msamehe tu
 
Nimegundua amenichiti sana kipindi anasoma chuo miaka mitatu imepita nimejua leo baada ya kufungua akaunti ya Facebook aliyo kuwa anatumia wakati huo yupo chuo na kusoma mesenja za zamani walivyo kuwa wanapeana mautamu moyo wangu unamaumivu so kawaida
"Life is changes" - Best Naso.
 
Back
Top Bottom