Nina mpango wa kujitengenezea "Fake Death"

Nina mpango wa kujitengenezea "Fake Death"

Dawa ya madeni ni kulipa sio kudanganya watu kwamba umekufa.
 
Nimewqh kufake death mkuu ntakuja kusimulia ilibidi nifanye vile sikua na jinsi
 
Bora ujiteke kuliko kujiua kinadhalia, Fanya hivi: Chukua begi lako na uage unasafiri. Ukishafika mji au sehemu ambako kuna mtu anakujua utengeneze tukio la utekaji. Yaani huyo ndugu au rafiki ashuhudie ukitekwa na katika tukio hilo begi libaki kama uthibitisho kuwa aliyetekwa kinguvu ni wewe. Ukishafika mbele kaendelee na mishe zako. Ndugu watakutafuta watachoka, wataomboleza nq mwisho watasahau. Baada ya kumaliza mission yako rudi na uwambie ulitekwa na kupelekwa mbali na nchi yako. Ukijizulia kifo utakosa amani sana katika maisha yako na kama kujiteka inashindikana ni bora ukaondoka tu bila kuaga na kupotelea kusikojulikana na baada ya miongo kadhaa rudi na uendelee kufaidi maisha na ndugu zako
 
Habari za jioni wanajamvi natumai nyie wote ni wazima nijielekeze kwenye maada
Kunastuation flani ambayo ninakabiliana nayo naili kufanikiwa kwa usahihi na bila kuharibu na kuvuruga utaratibu mzuri inanibidi kutengeneza kifo (Fake Death) ili kuwaaminisha baadhi ya watu kuwa nimekufa ili niwe huru kufanya baadhi ya mambo nitareta mrejesho soon
Maandalizi yake ni makubwa na yanataka umakini wa hali ya juu sana... Ukikosea kidogo tu umevuruga kila kitu
 
Back
Top Bottom