Nina mpango wa kujitengenezea "Fake Death"

Nina mpango wa kujitengenezea "Fake Death"

Sidhani kama nitakuwa nimekuelewa vizuri,so nikusema ukisha fake hiyo death kuna manufaa yoyote tutayapata kutokana na hilo tukio?

Fafanua vizuri siyo ukapige hela huko then utuchomeshe sisi mahindi hapa.
tuendelee kupata pata hapaa akirudi atatuelezea kwa kina.
 
Kuna jamaa ali fake death miaka ya nyuma kisa baba yake na ndugu zake walikuwa wanamtegemea kiuchumi

Aliandika barua akijifanya ni mtu mwingine na kumpa mtu aicopy kama ilivyo kuwa flani kafariki dunia
Matanga yalifanywa
Dunia mbaya hii
 
Kuna jamaa ali fake death miaka ya nyuma kisa baba yake na ndugu zake walikuwa wanamtegemea kiuchumi

Aliandika barua akijifanya ni mtu mwingine na kumpa mtu aicopy kama ilivyo kuwa flani kafariki dunia
Matanga yalifanywa
Dunia mbaya hii
Alikuwa na sababu za kijinga
 
Mkuu wewe lipa hela ya watu tu..
Dawa ya deni ni kulipa na sio kufa.
 
Hadi mda huu mipango inaenda vyema tumekamilisha 80% ya maandalizi
 
HII NAIPATA KWA MICHAEL KATIKA PBREAK (MWISHO WA SEASON 4) ILI AFANYE MISHEN YA SANAA....HII PIA NAIPATA KWENYE INNOCENT DEFENDANT JAMAA KAMUUA PACHA WAKE ILI ABEBE MAKOSA YAKE NA KUCHUKUA NAFASI YAKE YAN YY DOTO ANAISHI KAMA KURWA......HII NDIO BILALI THEORY MAREHEMU HATAFUTWI...WENGINE WAKAMUHUSISHA NA IVAN ALIYEKUWA MUME WA BOSS LADY ZAR BUT IZI NI FUNUNU ILA HII MAMBO IKO HASA KWA WAHUJUMU UCHUMI...OSAMA NAE KAINGIZWA KWENYE LIST KWA WALE WANAOAMINI NI AGENT WA USA...PROVE ME WRONG
We jamaa kichwa chako kikovizur
 
Ebwanae! usinisahau tu mgawo wa rambirambi
 
Back
Top Bottom