Aacha huu uchuro, atakufa kweliUnamshauri nini huyu jamaa?
Mkuu kama ni sababu ya dem we fake unaumwa sana ila sio kifoNipe uzoefu
Kuna jamaa alijitangaza radio one amefariki daah watu wakajichanga kijijini wakatuma na hela ya kumleta azikwe.siku ya kuleta maiti akaja mwenyewe na watoto sita. Alikuwa amepotea miaka kama 20 hivi .kumbe alitaka nauli tu maskiniMim hata kujaribisha kifo sitaki
Ahahahahahahah uwi walimfanyaje sasaKuna jamaa alijitangaza radio one amefariki daah watu wakajichanga kijijini wakatuma na hela ya kumleta azikwe.siku ya kuleta maiti akaja mwenyewe na watoto sita. Alikuwa amepotea miaka kama 20 hivi .kumbe alitaka nauli tu maskini
Me naona vizuri tu,maana angeomba maybe nauli wasingemsaidiaKuna jamaa alijitangaza radio one amefariki daah watu wakajichanga kijijini wakatuma na hela ya kumleta azikwe.siku ya kuleta maiti akaja mwenyewe na watoto sita. Alikuwa amepotea miaka kama 20 hivi .kumbe alitaka nauli tu maskini
Hulijui usemaloKweli dunia imepata ajali ww ifake hio death yako halafu ukifa kweli utajifunza.
Mpumbavu tu ndie anayejifunza kwa makosa yake mwenyewe ila wenye hekima hujifunza kwa makosa ya wenzao
Wewe wa semaUnajipa laana ya kifo,acha kumjalibu mungu wako
Kiruu [emoji23]Mbuta!
Wafanyeje sasa.ilikuwa kioja cha mwakaAhahahahahahah uwi walimfanyaje sasa
Ndo hivo watu wanathamini marehemuMe naona vizuri tu,maana angeomba maybe nauli wasingemsaidia
Duh hii kali asee. [emoji23]Kuna jamaa alijitangaza radio one amefariki daah watu wakajichanga kijijini wakatuma na hela ya kumleta azikwe.siku ya kuleta maiti akaja mwenyewe na watoto sita. Alikuwa amepotea miaka kama 20 hivi .kumbe alitaka nauli tu maskini
Analeta mamkitu ya ajabu hapaKiruu [emoji23]