HaMachiach
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 3,450
- 6,211
Habari za jioni wanajamvi natumai nyie wote ni wazima nijielekeze kwenye maada
Kunastuation flani ambayo ninakabiliana nayo naili kufanikiwa kwa usahihi na bila kuharibu na kuvuruga utaratibu mzuri inanibidi kutengeneza kifo (Fake Death) ili kuwaaminisha baadhi ya watu kuwa nimekufa ili niwe huru kufanya baadhi ya mambo nitareta mrejesho soon
=====
Wakuu habali za leo ninapenda niwashukuru wote mlio changia uzi wa kwanza but ni hivi lile swala nimelifanikisha naishukuru timu nzima walio fanikisha hili swala saivi niko holiday Iceland baada ya mapumnziko nitarudi kuendelea na swala lililonifanya nifake death msiba ulifanyika mbeya jumatatu najua kunawatu wameumizwa but I will back again
Kunastuation flani ambayo ninakabiliana nayo naili kufanikiwa kwa usahihi na bila kuharibu na kuvuruga utaratibu mzuri inanibidi kutengeneza kifo (Fake Death) ili kuwaaminisha baadhi ya watu kuwa nimekufa ili niwe huru kufanya baadhi ya mambo nitareta mrejesho soon
=====
Wakuu habali za leo ninapenda niwashukuru wote mlio changia uzi wa kwanza but ni hivi lile swala nimelifanikisha naishukuru timu nzima walio fanikisha hili swala saivi niko holiday Iceland baada ya mapumnziko nitarudi kuendelea na swala lililonifanya nifake death msiba ulifanyika mbeya jumatatu najua kunawatu wameumizwa but I will back again