4rever young
Senior Member
- Jul 26, 2019
- 136
- 125
- Thread starter
-
- #101
Nmekuelewa sana mkuu ni mchanganuo mzuri yaliyobaki yote ntajiongeza mwenyewe ikiwemo kukoboa ili niuze mcheleNingekua mimi na huo mtaji mchanganuo wangu ungekua hv
Iwe mngeta au Malinyi
Nauli:= 100,000
Nikifika gest:= 20,000(siku mbili)
Chumba cha kupanga 7000×6= 42,000
Nikifika nanunua gunia 15 za mpunga debe nane naweka mashineni: debe 8000= 64000×15= 960,000
Pesa ya mtafutaji mpunga roba 15:= 30,000
JUMLA KUU: 1,122,000
Chench inabaki kama m1 hv.
Mengine yatafata badae mf. Kukodi shamba nk.
Kumbuka swala la kula kule akinunua roba moja mpunga 64,000 unakula mchele mwaka mzima, kuni zipo kiberiti sh 100, maji yapo ya kumwaga
All the best hii plan inahitaji action sio kuomba ushauri ni kusacrifice tu
Kuhuxu kua karibu na jamii hilo niko vizuri na pia ntafata taratibu zote za kisheria ndugu yangu nashkuru sanaHizo stori kwa Mngeta sidhani kama zipo. Jamii nyingi za watanzania kwa sasa zime elimika hivyo hisia za ushirikina zimepungua kama siyo kuisha kabisa. Muhimu ni kujichanganya tu na jamii na pia kufuata taratibu zikiwemo za kutoa taarifa zako kwenye serikali ya kijiji ili utambulike.
Nashkuru sana kwa ushauri wako mkuuMm nikushauri kwamba Niliwahi kaa wilaya ya imalinyi kule biashara wakat wa mavuno iko vizur sema kwako mgeni inaweza kuwa changamoto koz hujui maeneo yake kulingana na umbali na njia zenyewe
Lkn ukienda na biashara ya viatu hasa vya akina mama utauza sana miezi hii
Hilo mm nililiona
Nmekuelewa sana mkuu ni mchanganuo mzuri yaliyobaki yote ntajiongeza mwenyewe ikiwemo kukoboa ili niuze mchele
Hapo utakuwa ume patia mkuu, pale pako vizuriiii sanaaaaaaaa!! Utalima mpunga, mahindi, viazi, karangaB-) ndizi au kokoaNataka niende mngeta,,, unanishaurije
Nashkuru xana kiongoz kwa ushauri wakoHapo utakuwa ume patia mkuu, pale pako vizuriiii sanaaaaaaaa!! Utalima mpunga, mahindi, viazi, karangaB-) ndizi au kokoa
Vipi unaenda liniNdugu zangu wa morogoro poleni sana kwa yaliyotokea hatua budi kumxhkuru mwenyezi MUNGU na kuwaombea wale wote walioaga dunia wapumzke kwa amani bila kusahau majeruhi waweze kupona kwa muda waliopangia na mkuu wa dunia na mbingu,,,, kwa hayo yote yaliotokea bado ninamsmamo wangu uleule wa kuhamia morogoro,, asanten na usiku mwema
Mwez wa 10 mkuuVipi unaenda lini
We ni mwenyeji wa hukoHapo utakuwa ume patia mkuu, pale pako vizuriiii sanaaaaaaaa!! Utalima mpunga, mahindi, viazi, karangaB-) ndizi au kokoa
Nawe pia unampango huo?Vipi unaenda lini
Unajua ulichoandika?Haha mzee hii njia nilikuwa natumia chuo Boom lote nimelipeka kufanya biashara alafu majanga sipokei hata faida hata 1000/= kwasiku mzee usiombe ikutokee nilifanya idalali mpaka vibaya ili nipate pesa yaku survival kwa miezi minne 4 yaani nikiamka na 3000/= nyingi.
wasikujaze woga mm nilipotoka shule miaka ya 2000 mwanzoni,nilizamia huko mlimba Nina 20000 tu mfukoni.nilikomaa kule nalima huku nawinda nyama pori kwa mwaka 6 nikawa mwenyeji nikajenga na kakibanda nikatoka shavu.mpaka Leo Nina nyumba kule na ardhi.usiogopeHongera zako mkuu,,, pambana ipo siku utatoka
wasikujaze woga mm nilipotoka shule miaka ya 2000 mwanzoni,nilizamia huko mlimba Nina 20000 tu mfukoni.nilikomaa kule nalima huku nawinda nyama pori kwa mwaka 6 nikawa mwenyeji nikajenga na kakibanda nikatoka shavu.mpaka Leo Nina nyumba kule na ardhi.usiogopeHongera zako mkuu,,, pambana ipo siku utatoka
Una ushoga wewe.Unajua ulichoandika?
Duuuh,,,,, dedication ndio ktu cha muhimu,,, nashkuru kwa kunitia moyo brotherwasikujaze woga mm nilipotoka shule miaka ya 2000 mwanzoni,nilizamia huko mlimba Nina 20000 tu mfukoni.nilikomaa kule nalima huku nawinda nyama pori kwa mwaka 6 nikawa mwenyeji nikajenga na kakibanda nikatoka shavu.mpaka Leo Nina nyumba kule na ardhi.usiogope
Mkuu wewe unaongelea enzi ya zamani wakati huo hata JK hajaingia madarakani utalinganisha na leo kweli?wasikujaze woga mm nilipotoka shule miaka ya 2000 mwanzoni,nilizamia huko mlimba Nina 20000 tu mfukoni.nilikomaa kule nalima huku nawinda nyama pori kwa mwaka 6 nikawa mwenyeji nikajenga na kakibanda nikatoka shavu.mpaka Leo Nina nyumba kule na ardhi.usiogope
Really,let us hope for thatUnakwama wapi kutoa wazo mbadala mkuu ?