Nina mpango wa kuhamia Morogoro kwa nia ya kutafuta maisha

Ningekua mimi na huo mtaji mchanganuo wangu ungekua hv

Iwe mngeta au Malinyi

Nauli:= 100,000
Nikifika gest:= 20,000(siku mbili)
Chumba cha kupanga 7000×6= 42,000
Nikifika nanunua gunia 15 za mpunga debe nane naweka mashineni: debe 8000= 64000×15= 960,000
Pesa ya mtafutaji mpunga roba 15:= 30,000
JUMLA KUU: 1,122,000
Chench inabaki kama m1 hv.

Mengine yatafata badae mf. Kukodi shamba nk.

Kumbuka swala la kula kule akinunua roba moja mpunga 64,000 unakula mchele mwaka mzima, kuni zipo kiberiti sh 100, maji yapo ya kumwaga

All the best hii plan inahitaji action sio kuomba ushauri ni kusacrifice tu
Nmekuelewa sana mkuu ni mchanganuo mzuri yaliyobaki yote ntajiongeza mwenyewe ikiwemo kukoboa ili niuze mchele
 
Hizo stori kwa Mngeta sidhani kama zipo. Jamii nyingi za watanzania kwa sasa zime elimika hivyo hisia za ushirikina zimepungua kama siyo kuisha kabisa. Muhimu ni kujichanganya tu na jamii na pia kufuata taratibu zikiwemo za kutoa taarifa zako kwenye serikali ya kijiji ili utambulike.
Kuhuxu kua karibu na jamii hilo niko vizuri na pia ntafata taratibu zote za kisheria ndugu yangu nashkuru sana
 
Mm nikushauri kwamba Niliwahi kaa wilaya ya imalinyi kule biashara wakat wa mavuno iko vizur sema kwako mgeni inaweza kuwa changamoto koz hujui maeneo yake kulingana na umbali na njia zenyewe
Lkn ukienda na biashara ya viatu hasa vya akina mama utauza sana miezi hii
Hilo mm nililiona
Nashkuru sana kwa ushauri wako mkuu
 
Hyo kukoboa unajipa muda miezi mitatu ndo unakoboa upate faida nzuri.....mengineyo ukiishi kule lazma ulime upate experience
Kukodi heka mbili 100,000
Kulima kwa trekta 100,000
Kumwaga mpunga 100,000
Jumla 300,000
Ukijumlisha kung'olelea, dawa inaongezeka kidogo.....

Kumbuka confidence yako kubwa itakuwa kwenye roba 15 ulizonunua ukaweka stake.....ikipita miezi mitano utakua ushakua mwenyeji na mke umepata!!!
Nmekuelewa sana mkuu ni mchanganuo mzuri yaliyobaki yote ntajiongeza mwenyewe ikiwemo kukoboa ili niuze mchele
 
Ndugu zangu wa morogoro poleni sana kwa yaliyotokea hatua budi kumxhkuru mwenyezi MUNGU na kuwaombea wale wote walioaga dunia wapumzke kwa amani bila kusahau majeruhi waweze kupona kwa muda waliopangia na mkuu wa dunia na mbingu,,,, kwa hayo yote yaliotokea bado ninamsmamo wangu uleule wa kuhamia morogoro,, asanten na usiku mwema
 
Ndugu zangu wa morogoro poleni sana kwa yaliyotokea hatua budi kumxhkuru mwenyezi MUNGU na kuwaombea wale wote walioaga dunia wapumzke kwa amani bila kusahau majeruhi waweze kupona kwa muda waliopangia na mkuu wa dunia na mbingu,,,, kwa hayo yote yaliotokea bado ninamsmamo wangu uleule wa kuhamia morogoro,, asanten na usiku mwema
Vipi unaenda lini
 
Haha mzee hii njia nilikuwa natumia chuo Boom lote nimelipeka kufanya biashara alafu majanga sipokei hata faida hata 1000/= kwasiku mzee usiombe ikutokee nilifanya idalali mpaka vibaya ili nipate pesa yaku survival kwa miezi minne 4 yaani nikiamka na 3000/= nyingi.
Unajua ulichoandika?
 
Hongera zako mkuu,,, pambana ipo siku utatoka
wasikujaze woga mm nilipotoka shule miaka ya 2000 mwanzoni,nilizamia huko mlimba Nina 20000 tu mfukoni.nilikomaa kule nalima huku nawinda nyama pori kwa mwaka 6 nikawa mwenyeji nikajenga na kakibanda nikatoka shavu.mpaka Leo Nina nyumba kule na ardhi.usiogope
 
Hongera zako mkuu,,, pambana ipo siku utatoka
wasikujaze woga mm nilipotoka shule miaka ya 2000 mwanzoni,nilizamia huko mlimba Nina 20000 tu mfukoni.nilikomaa kule nalima huku nawinda nyama pori kwa mwaka 6 nikawa mwenyeji nikajenga na kakibanda nikatoka shavu.mpaka Leo Nina nyumba kule na ardhi.usiogope
 
wasikujaze woga mm nilipotoka shule miaka ya 2000 mwanzoni,nilizamia huko mlimba Nina 20000 tu mfukoni.nilikomaa kule nalima huku nawinda nyama pori kwa mwaka 6 nikawa mwenyeji nikajenga na kakibanda nikatoka shavu.mpaka Leo Nina nyumba kule na ardhi.usiogope
Duuuh,,,,, dedication ndio ktu cha muhimu,,, nashkuru kwa kunitia moyo brother
 
wasikujaze woga mm nilipotoka shule miaka ya 2000 mwanzoni,nilizamia huko mlimba Nina 20000 tu mfukoni.nilikomaa kule nalima huku nawinda nyama pori kwa mwaka 6 nikawa mwenyeji nikajenga na kakibanda nikatoka shavu.mpaka Leo Nina nyumba kule na ardhi.usiogope
Mkuu wewe unaongelea enzi ya zamani wakati huo hata JK hajaingia madarakani utalinganisha na leo kweli?
Miaka hyo vyuma vilikuwa havijakaza na kulikuwa na neema kwenye kila biashara.
 
Ivi kwann majority ya watz hatupendi kusaidiana huku tukijua kabsa hamna mtu anajua kesho yake!!! Haya maisha yanamwisho wake na ipo siku utaacha vyote hapa duniani
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom