4rever young
Senior Member
- Jul 26, 2019
- 136
- 125
- Thread starter
- #101
Nmekuelewa sana mkuu ni mchanganuo mzuri yaliyobaki yote ntajiongeza mwenyewe ikiwemo kukoboa ili niuze mcheleNingekua mimi na huo mtaji mchanganuo wangu ungekua hv
Iwe mngeta au Malinyi
Nauli:= 100,000
Nikifika gest:= 20,000(siku mbili)
Chumba cha kupanga 7000×6= 42,000
Nikifika nanunua gunia 15 za mpunga debe nane naweka mashineni: debe 8000= 64000×15= 960,000
Pesa ya mtafutaji mpunga roba 15:= 30,000
JUMLA KUU: 1,122,000
Chench inabaki kama m1 hv.
Mengine yatafata badae mf. Kukodi shamba nk.
Kumbuka swala la kula kule akinunua roba moja mpunga 64,000 unakula mchele mwaka mzima, kuni zipo kiberiti sh 100, maji yapo ya kumwaga
All the best hii plan inahitaji action sio kuomba ushauri ni kusacrifice tu