Ukitaka Aman Oa mwanamke

asokua mlevi

Mwenye hofu na Mungu na mcha Mungu kweli kweli !!.
Hutosikia

anakutukana

anakudanganya kama uyo wako

hakuheshim

anakudharau
Shida mnaoa sababu ana

Makalio

Mahips

mjanja na anayekwenda na wakat.

Ni Mrembo lakini sio Mzuri.




Sikia Haijalishi we mwanamme ni Mlevi au husali /huswali ,Wakat wakuoa HAKIKISHA unaoa mwanamke asokua mlevi + anayesali !!
Niliwah sema , mwanamke ni Mjenzi wa familia , hakimu. Na mwalimu wafamilia , huyo mkeo automatically atakuja kuathiri tabia ya mtoto wako.
Ushauri Wangu kwako.
Show your Manhood , Ukimzoesha kuchukulia poa ,mwisho mazoea yatakua Tabia namwisho hutokaa umbadili, wakat wako niwasasa ,kua mkali , mpe Shule , na uwe unachukua maaamuzi magumu !!
Aiseee kua makini sana ,atakapovuka mstar wa heshima na aanze kukudharau ,we sio kitu tena!!!

inakuaje mwanamke akudharau???

inakuaje anakudanganya naww unajua ukweli nabado unatulia????

Inakuaje hiiii????? Daaaaahhh Mimi sijui nipoje yaan ,sitakagi kujipa shida moyo Wangu , nando maana sijawah kua na siku mbaya linapokuja suala LA mahusiano. ( you love me ,I love you , nitakupenda kwa dhat ila ukishaleta mbwembwe nyingi Naamsha

).
Tumia " Fimbo na Carrots " , akikuona mkolon poa tuuu but for the sake of your Child na Furaha yako ,Do it !!