Nina mke ananitukana

Nina mke ananitukana

Habari wana JF, Mimi nina mke tumefunga ndoa na tumejaliwa kupata mtoto mmoja kwa sasa ana miezi 8. Mke wangu ni mgomvi mno, kila ukimueleza jambo anapaniki hata kama ni zuri kiasi gani.

Kuna wakati anaaga anaenda sehemu kumbe anadanganya anaenda mahali pengine. Kuna siku baba mkwe akanipigia simu baada ya kujua kadanganya hakwenda alikoaga anaenda, akaniambia niwe namweleza kila uchafu anaofanya mke wangu. Lakini naona siyo poa kumwambia kuwa mwanao ananitukana na ni muongo.

Kipindi cha nyuma aliwahi kunisimulia kuwa alitoroka kwao na kwenda Tabora huko akapata mwanaume wakakaa miaka 2 lakini wakaachana na kurudi kwao hapo ndipo nilipokutana nae na baadae kumuoa, hayo ni machache lkn kifupi si mwaminifu, mgomvi, hana ushauri juu ya maisha na haniheshimu.

Kinachooniuma ni kwamba mimi ni mkristo na ndoa zetu zikifungwa hakuna kuachana. Nifanyeje? Nahitaji ushauri mzuri na wa hekima. Natanguliza shukrani.
Huy atakuwa mjamzito....
 
Mwanamke anatakiwa akutukane mkiwa katika ya uwanja wa Fundi selemala. Au wakati unapiga bao.lakini si uko macho Na misharubu.una dhalilisha taasisi we hujui mwanaune ni taasisi! Ck akirudia MPE kelbu moja matata simama kama mume
 
Kwani umeoa wewe au dini yako..!? Yanini kujipa tabu kisa mkrito piga chini huyo mkuu ni hatari kwa afya.. Namini hata dini yenu inarusu kumuacha mke kama sio mwaminifu
 
Ukitaka Aman Oa mwanamke
asokua mlevi
Mwenye hofu na Mungu na mcha Mungu kweli kweli !!.

Hutosikia
anakutukana
anakudanganya kama uyo wako
hakuheshim
anakudharau


Shida mnaoa sababu ana
Makalio
Mahips
mjanja na anayekwenda na wakat.
Ni Mrembo lakini sio Mzuri.

Sikia Haijalishi we mwanamme ni Mlevi au husali /huswali ,Wakat wakuoa HAKIKISHA unaoa mwanamke asokua mlevi + anayesali !!

Niliwah sema , mwanamke ni Mjenzi wa familia , hakimu. Na mwalimu wafamilia , huyo mkeo automatically atakuja kuathiri tabia ya mtoto wako.

Ushauri Wangu kwako.
Show your Manhood , Ukimzoesha kuchukulia poa ,mwisho mazoea yatakua Tabia namwisho hutokaa umbadili, wakat wako niwasasa ,kua mkali , mpe Shule , na uwe unachukua maaamuzi magumu !!

Aiseee kua makini sana ,atakapovuka mstar wa heshima na aanze kukudharau ,we sio kitu tena!!!

inakuaje mwanamke akudharau???
inakuaje anakudanganya naww unajua ukweli nabado unatulia????

Inakuaje hiiii????? Daaaaahhh Mimi sijui nipoje yaan ,sitakagi kujipa shida moyo Wangu , nando maana sijawah kua na siku mbaya linapokuja suala LA mahusiano. ( you love me ,I love you , nitakupenda kwa dhat ila ukishaleta mbwembwe nyingi Naamsha ).

Tumia " Fimbo na Carrots " , akikuona mkolon poa tuuu but for the sake of your Child na Furaha yako ,Do it !!
Umenikumbusha "stick and carrots ".

Ushauri mzuri sana .
 
Baby live your life, just how you are
Shining star
Hope you never get famous
Flying low with the angels
They said "fake it 'till you make it"
I guess you fake when you make it
I told you "stick to the basics"
Built an empire started from the basement
If you tryna fix a glass that's broken
You know it might cut ya hand
Never want to see you with another man
Truth might eat you if you're mumbling
When it get too cold for a blanket
Need you hugging me
Because nobody gonna love you like I do
 
Mwanamke anakutana halafu unatulia! Mkanye kwa maneno asipoelewa mlambe vibao, sio unakuja kulia humu jamvini.
 
Ndoa ni taasisi, nyie mmeigeuza kama njia ya kusogeza huduma ya ngono karibu. Always unashauriwa kuchunguza kwanza mtu wa kuoa na sio kupofushwa na muonekano, angalia mkuu isije ikawa hata mtoto sio wako.
 
Mwache aende mtoto komaa nae atakua tu au Kama VP bakora tu,ikishindikana kabisa mfungie chumban
 
Habari wana JF, Mimi nina mke tumefunga ndoa na tumejaliwa kupata mtoto mmoja kwa sasa ana miezi 8. Mke wangu ni mgomvi mno, kila ukimueleza jambo anapaniki hata kama ni zuri kiasi gani.

Kuna wakati anaaga anaenda sehemu kumbe anadanganya anaenda mahali pengine. Kuna siku baba mkwe akanipigia simu baada ya kujua kadanganya hakwenda alikoaga anaenda, akaniambia niwe namweleza kila uchafu anaofanya mke wangu. Lakini naona siyo poa kumwambia kuwa mwanao ananitukana na ni muongo.

Kipindi cha nyuma aliwahi kunisimulia kuwa alitoroka kwao na kwenda Tabora huko akapata mwanaume wakakaa miaka 2 lakini wakaachana na kurudi kwao hapo ndipo nilipokutana nae na baadae kumuoa, hayo ni machache lkn kifupi si mwaminifu, mgomvi, hana ushauri juu ya maisha na haniheshimu.

Kinachooniuma ni kwamba mimi ni mkristo na ndoa zetu zikifungwa hakuna kuachana. Nifanyeje? Nahitaji ushauri mzuri na wa hekima. Natanguliza shukrani.
Nani kakuambia ndoa ikifungwa haivunji?,zinavyunjwa sana tu
 
Back
Top Bottom