Chris14
JF-Expert Member
- Oct 2, 2017
- 3,076
- 2,185
Mkuu mtu alikusimulia kwa kinywa chake madhambi yake nawe ukaridhia kumuoa pamoja na madhaifu yake. Huoni kama wewe ndie mkosaji, kwa sasa hamna namna vumilia tu maana uliridhia kiroho safi.Kipindi cha nyuma aliwahi kunisimulia kuwa alitoroka kwao na kwenda Tabora huko akapata mwanaume wakakaa miaka 2 lakini wakaachana na kurudi kwao hapo ndipo nilipokutana nae na baadae kumuoa, hayo ni machache lkn kifupi si mwaminifu, mgomvi, hana ushauri juu ya maisha na haniheshimu.