Nina mimba yake lakini kanitelekeza!

Kwa akili hizi za wanawake, kuja kupevuka kifikra ni jambo lisilowezekana.
Mimba uibebe wewe, halafu uje udai ni mali ya mwanaume?
Mwanaume ana ileaje mimba, wakati wewe umeibeba?
Yaani unataka mwanaume akupe pesa za kula, kuvaa na kulala kisa tu alikupa utamu mwingi mpaka kupata mimba?
Watapata tabu sana 🤣🤣🤣!
 
Lea mimba hio wewe acha kelele....

Halafu umeleta stori ya upande mmoja,,, Elezea ulichofanya hadi ukatelekezwa...
 
Nina mimba sasa ni miezi 6 kaamua kunitelekeza. Natamani hata ningetoa lakini ishakua kubwa

Nifanyeje maana nahisi kuchanganyikiwa yeye yupo busy tu na watu wengine na gym ukweli ni kuwa huyu mwanaume ni mchafu sana nimemvumilia sana lakini kaamua kunitelekeza na mimba ya miezi 6 nataabika mwenyewe
Jitunze vizuri ujifungue salama
 
Dada zetu wanachokosea ni hawaangalii nani na nani wanaweza kufanya nao ngono zembe hata ikitokea chochote akawajibika.

Kwanza wajue madhara ya ngono kwao ndiyo makubwa zaidi kama hivi mimba,inabidi wao ktk tendo lolote la ngono wawe waamuzi wa mwisho maana ktk situations za uzinifu yule anayezini nae hajaidhinishwa na hayupo guaranteed kwamba atawajibika kwa matokeo ya kosa wanalochofanya.
Wengi wao hawana elimu ya afya ya uzazi na wengine ni tamaa zinawaponza.
 
Kwani ulivyokuwa unat*mbwa ulikuwa ujui kuwa mimba itaingia! Embu zaa uko na ole wako utoe nakuapia lzm ulione kaburi acha ngono zembe
 
Sema mna mimba wewe na yeye ukisema una mimba yake ina maana we unaikana unategemea yeye ataikubali??? Anyway pole sana
 
Nina mimba sasa ni miezi 6 kaamua kunitelekeza. Natamani hata ningetoa lakini ishakua kubwa

Nifanyeje maana nahisi kuchanganyikiwa yeye yupo busy tu na watu wengine na gym ukweli ni kuwa huyu mwanaume ni mchafu sana nimemvumilia sana lakini kaamua kunitelekeza na mimba ya miezi 6 nataabika mwenyewe
Pole dear.... Nisikufiche kua single mother ni Kazi ngumu sana.... Unatakiwa ufanye Kazi kwa bidii.... Sa hv na hata ukijifungua usijihusishe na mwanaume yoyote... Jihusishe na kutafuta na kufanya Kazi....... Na siku huyo baba mtoto akirudi jitahid sana kutuliza hisia zako usijaribu kumrudia
 
Nina mimba sasa ni miezi 6 kaamua kunitelekeza. Natamani hata ningetoa lakini ishakua kubwa

Nifanyeje maana nahisi kuchanganyikiwa yeye yupo busy tu na watu wengine na gym ukweli ni kuwa huyu mwanaume ni mchafu sana nimemvumilia sana lakini kaamua kunitelekeza na mimba ya miezi 6 nataabika mwenyewe

Hakuna mke hapa mitano tena kwa jamaa
 
Back
Top Bottom