Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,524
- 203,269
Usikute anatuchota tu… kutuletea mambo za Sexless.. leo ke, kesho me.Kumbe hizi nyuzi zote ulizofungua kwa fujo kuhusu gym ni ww wamekutenda?Mashoga wamekutibulia kitumbua chako?
pole sana
Usikute anatuchota tu… kutuletea mambo za Sexless.. leo ke, kesho me.Kumbe hizi nyuzi zote ulizofungua kwa fujo kuhusu gym ni ww wamekutenda?Mashoga wamekutibulia kitumbua chako?
pole sana
Alinikataa huyu kisa ni haka kakitambi kangu.
Kwa bandiko lako hili hapa ni dhahiri na wewe ulienda gym kuwinda na kushawishi vijana wenye six pack sasa wamekutia kidude unalalamika,sometimes kulikuwa na mwamba alitaka hadi kukuowa but kwa kukosa kwake six pack ukamuona lofa.
Kimasihara masihara unaenda kuwa single mama!idadi inaongezeka.
Hahah sasa itam-cost maji ataita mma!Alinikataa huyu kisa ni haka kakitambi kangu.
Ila bado nafasi ipo,ntalea japo kitanda hakizai haramu.Hahah sasa itam-cost maji ataita mma!
Unabebaje mimba nje ya ndoaNina mimba sasa ni miezi 6 kaamua kunitelekeza. Natamani hata ningetoa lakini ishakua kubwa
Nifanyeje maana nahisi kuchanganyikiwa yeye yupo busy tu na watu wengine na gym ukweli ni kuwa huyu mwanaume ni mchafu sana nimemvumilia sana lakini kaamua kunitelekeza na mimba ya miezi 6 nataabika mwenyewe![]()
Kumtuliza au kitula wewe mwenye mimbaWanasemaga ‘ngoja nimzalie/ nimmbebe mimba atatulia

Visirani subiri uzaeNina mimba sasa ni miezi 6 kaamua kunitelekeza. Natamani hata ningetoa lakini ishakua kubwa
Nifanyeje maana nahisi kuchanganyikiwa yeye yupo busy tu na watu wengine na gym ukweli ni kuwa huyu mwanaume ni mchafu sana nimemvumilia sana lakini kaamua kunitelekeza na mimba ya miezi 6 nataabika mwenyewe![]()
UtotoUsikute anatuchota tu… kutuletea mambo za Sexless.. leo ke, kesho me.
Kumtuliza mwenye mimba 😂😂
Aliyekupa.. baba kijacho 😂
Gym ndio wale uliosema wanapakuliwa?Nina mimba sasa ni miezi 6 kaamua kunitelekeza. Natamani hata ningetoa lakini ishakua kubwa
Nifanyeje maana nahisi kuchanganyikiwa yeye yupo busy tu na watu wengine na gym ukweli ni kuwa huyu mwanaume ni mchafu sana nimemvumilia sana lakini kaamua kunitelekeza na mimba ya miezi 6 nataabika mwenyewe![]()
Yaani hapo utatulia mwenye kiumbe tumboni,Aliyekupa.. baba kijacho
Wanasemaga eti Mwanaume asiyetulia mbebee mimba, ukishakuwa na kiumbe chake atatulia.
Ndio mtoa mada huyo kalivagaa
,,unaishia kujutata tuKwa akili hizi za wanawake, kuja kupevuka kifikra ni jambo lisilowezekana.Nina mimba sasa ni miezi 6 kaamua kunitelekeza. Natamani hata ningetoa lakini ishakua kubwa
Nifanyeje maana nahisi kuchanganyikiwa yeye yupo busy tu na watu wengine na gym ukweli ni kuwa huyu mwanaume ni mchafu sana nimemvumilia sana lakini kaamua kunitelekeza na mimba ya miezi 6 nataabika mwenyewe![]()
Moto was kifuuAliyekupa.. baba kijacho
Wanasemaga eti Mwanaume asiyetulia mbebee mimba, ukishakuwa na kiumbe chake atatulia.
Ndio mtoa mada huyo kalivagaa

Dada kukusaidia tu.Wakati mnapenda kuzagamua danger days sababu joto liko juu mnakuwa hamjui kama kuna majukumu ee?