Nina mimba yake lakini kanitelekeza!

Nina mimba yake lakini kanitelekeza!

Kalenda ya uzazi unayo wewe kama mwanamke,
Kwanini huku chukua tahadhari mtumie kinga ?

Kwani alikubaka ?
 
Nina mimba sasa ni miezi 6 kaamua kunitelekeza. Natamani hata ningetoa lakini ishakua kubwa

Nifanyeje maana nahisi kuchanganyikiwa yeye yupo busy tu na watu wengine na gym ukweli ni kuwa huyu mwanaume ni mchafu sana nimemvumilia sana lakini kaamua kunitelekeza na mimba ya miezi 6 nataabika mwenyewe
Unabebaje mimba nje ya ndoa
mjinga kabisa wewe
 
Najaribu kuhesabu hapa idadi ya mabaunsa wenye familia,nkimaliliza ntawapa mrejesho.
 
Nina mimba sasa ni miezi 6 kaamua kunitelekeza. Natamani hata ningetoa lakini ishakua kubwa

Nifanyeje maana nahisi kuchanganyikiwa yeye yupo busy tu na watu wengine na gym ukweli ni kuwa huyu mwanaume ni mchafu sana nimemvumilia sana lakini kaamua kunitelekeza na mimba ya miezi 6 nataabika mwenyewe
Visirani subiri uzae
 
Nina mimba sasa ni miezi 6 kaamua kunitelekeza. Natamani hata ningetoa lakini ishakua kubwa

Nifanyeje maana nahisi kuchanganyikiwa yeye yupo busy tu na watu wengine na gym ukweli ni kuwa huyu mwanaume ni mchafu sana nimemvumilia sana lakini kaamua kunitelekeza na mimba ya miezi 6 nataabika mwenyewe
Gym ndio wale uliosema wanapakuliwa?
 
Nina mimba sasa ni miezi 6 kaamua kunitelekeza. Natamani hata ningetoa lakini ishakua kubwa

Nifanyeje maana nahisi kuchanganyikiwa yeye yupo busy tu na watu wengine na gym ukweli ni kuwa huyu mwanaume ni mchafu sana nimemvumilia sana lakini kaamua kunitelekeza na mimba ya miezi 6 nataabika mwenyewe
Kwa akili hizi za wanawake, kuja kupevuka kifikra ni jambo lisilowezekana.
Mimba uibebe wewe, halafu uje udai ni mali ya mwanaume?
Mwanaume ana ileaje mimba, wakati wewe umeibeba?
Yaani unataka mwanaume akupe pesa za kula, kuvaa na kulala kisa tu alikupa utamu mwingi mpaka kupata mimba?
 
Wakati mnapenda kuzagamua danger days sababu joto liko juu mnakuwa hamjui kama kuna majukumu ee?
Dada kukusaidia tu.

Kwa tendo lolote la ngono zembe as long as haulifanyi na mumeo aliyeidhinishwa inakutaka wewe kama mwanamke ambaye utapata madhara makubwa zaidi kuamua nini kifanyike nini kisifanyike?ng’ang’ana kusema “hamjui kama kuna majukumu” na wewe haya yakukute.
 
Back
Top Bottom