nina milioni 200

Shughuli za kufanya zipo nyingi sana, lakini uwe makini. Mfano kama nilivyoona baadhi ya watu wanakushauri kutumia BUSSINESS CONSULTANTS (Experienced ones!!!!).

Pia mbona hata Agrobusiness inalipa!
Unaweza kuwa unanunua mazao toka kwa wakulima wakati wa mavuno, unaweka stock. U just spend not more than 2 months buying you keep you stock for about 6 months you sell your products. Haiumizi kichwa. Mbona wafanyabiashara wengi wakubwa tu wanafanya hizo kazi!

Mfano: Unanunua gunia la mpunga mwzezi wa tano/sita kwa sh. 35,000/40,000 unauza mwezi November-January kwa sh. 50,000 - 80,000. This means your investment yields >50% as a profit in 6-8 months!

Ni ushauri tu!

YOU CAN TAKE THE DONKEY TO THE RIVER BUT YOU CAN'T FORCE IT TO DRINK!
PEOPLE MAY HELP A PERSON TO THINK, BUT THEY CAN'T THINK FOR HIM!

Nakutakia mafanikio.


Una akili wewe!!!!!!!! kuna watu humu hawawezi tulia mpaka wamponde mtu. GT nadhani kuna wengine na utoto pia unatawala.
 
Hizo ni pesa nyingi sana na ni pesa ndogo sana. Inategemea. Kama unapenda kilimo, sikuhizi kilimo ni biashara siyo kama zamani. Kwa pesa hiyo utaweza pata eneo na ili upate mfumo wa umwagiliaji maji, mahindi ya kuchuma yanafaida kubwa kwani utalima kwa mwaka mara 6 na kila ekari moja itakupatia mahindi elfu 28 mgegu ya mahindi mawili mawili.

Kama unapenda uana zuoni hizo unaweza kuanzisha shule ya msingi au sekondari. Sheria ya kuanzisha shule tanzania inataka uwe walau una minimum ya ekari 3, ujenge madarasa 3. maktaba, maabara na toilets pamoja na ofisi za walimu. Ukiweka walimu wazuri chukuwa kila darasa wanafunzi 35 wakulipe milioni 2 kwa mwaka ukiwa na Streams A na B utakusanya mil 75 kwa mwaka gharama za uendeshaji bila kujali kuwekeza upya, {madarasa mapya} haitazidi asilimia 35. shule kodi nyingi ni msamaha. Nipe mimi dola 5000 Nikuandikie mchanganuo na nitakusaidia hadi kusajili shule. Au twanga +255 718 194606

Mpaka hapo ameshabakiwa na 185M, Bado Ma-Consultant, Architects, constructors, brokers, na makorokoro kibao-Bongo mjini dada, wakishajua unapesa na hauna ujualo kuhusu hiyo "deal" wanakugeuza "deal"! pesa zitaisha ubaki na matofali tu! M200 ni pesa kidogo sana, fikiria kabla ya kutenda: unaweza ukapoteza kila kitu na miaka yote uliyotoil kuipata hiyo senti ikawa BUREEEE!

Kama unaweza KILIMO NA UFUGAJI inalipa sana!
 
Back
Top Bottom