Wakumwitu
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 370
- 82
Shughuli za kufanya zipo nyingi sana, lakini uwe makini. Mfano kama nilivyoona baadhi ya watu wanakushauri kutumia BUSSINESS CONSULTANTS (Experienced ones!!!!).
Pia mbona hata Agrobusiness inalipa!
Unaweza kuwa unanunua mazao toka kwa wakulima wakati wa mavuno, unaweka stock. U just spend not more than 2 months buying you keep you stock for about 6 months you sell your products. Haiumizi kichwa. Mbona wafanyabiashara wengi wakubwa tu wanafanya hizo kazi!
Mfano: Unanunua gunia la mpunga mwzezi wa tano/sita kwa sh. 35,000/40,000 unauza mwezi November-January kwa sh. 50,000 - 80,000. This means your investment yields >50% as a profit in 6-8 months!
Ni ushauri tu!
YOU CAN TAKE THE DONKEY TO THE RIVER BUT YOU CAN'T FORCE IT TO DRINK!
PEOPLE MAY HELP A PERSON TO THINK, BUT THEY CAN'T THINK FOR HIM!
Nakutakia mafanikio.
Una akili wewe!!!!!!!! kuna watu humu hawawezi tulia mpaka wamponde mtu. GT nadhani kuna wengine na utoto pia unatawala.