David Harvey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,676
- 5,217
Nunua ambulance
naijua ioMpe Simba anashinda upate faida mara dufu
hii nzuri taifanyaUkiwa unafikiria kazi ya kufanya, ziweke kwenye fixed account. Au kama una washikaji waaminifu kopesha kwa riba, tena hii inalipa sana ni swala ni uaminifu.
ipeleke utt amis yote kwanz muda unaendelea kufikiriaUkipata cha kufanya hasa biashara nakushauri usiwekeze hela yote.
Sijakuekewa hapo kwenye mtaji + pesa yakukodishaThe same age but mfukoni ndo kwanza nnabuku..... Ila nnawazo la muda mrefu kidogo ila pesa za kukamilisha hilo ndo naendelea kuzichanga!!!!
TWENDE PAMOJA: Mimi nahitaji Ngwanda (n chombo Cha uvuvi baharini)
Gharama yake ni kama 10+ milion.... Kuchonga mpya pamoja na vifaa vyake Kama engine, generator, taa n.k
Gharama kwa used inapatikana kwa 7.5mil .... (Connection ninayo)
WAZO SHIRIKISHI.....
Kama utakuwa tayari, tushirikiane kwa namna ifuatayo:
*Wewe utanunua Ngwanda kwa 7.5 mil (uwe kama boss)
* Halafu tuingie mkataba unikodishie kwa gharama ya kila siku 30k (kazi itafanyika siku 20 kwenye mwezi)
*Lengo langu ni kuinunua hiyo Ngwanda, ambayo itanichukua miezi 10 kukamilisha pesa yako 7.5 mil, nikishainunua kutoka kwako tunakuwa tumemaliza
*Then baada ya hapo Kama tutaingia mkataba mwingine, sawa!!
FAIDA YAKO ITATOKA WAPI????
Twende pamoja:
Ndani ya miezi kumi ambayo nitakuwa naikusanya pesa ya kuinunua Ngwanda ya boss, zoezi letu la ukodishiwaji wa 30000 kwa siku litaendelea
hesabu: siku 20 za kazi × 30k = 600k.
Kwa miezi 10 👉 jumla 6mil ....... Hii n pesa ya kukodisha chombo
Then:. Mtaji + pesa ya kukodisha = 7.5mil + 6mil = 13.5mil
USALAMA WA MALI YAKO:
Kila kazi inachangamoto lakini hapa risk kubwa nitaichukua mimi.... Ikitokea chombo kimeenda baharini kikakosa hiyo wewe haikuhusu pesa yako ya kukodisha chombo ipo palepale
* Na ikitokea nimeenda kinyume na taratibu unaweza uza chombo chako.... Kwani Ngwanda haiwezi kosa mteja!!!
*Taratibu za uandikishanaji zitakuwa kisheria kabisa
* Usiwaze kuniajiri, tufanye kaz Kama mkataba wa bodaboda na bajaji n bora zaidi
*Haya kama deal ni zuri karibu inbox
NB: hatujasomea mambo ya biashara kwahyo ...we no nothing about business proposal..... Elimu yetu ndo hyo la 7 B, soma tu hvyohvyo ndugu!!
PESA YA MTAJI👉 pesa uliotumia kununulia Chombo Cha uvuviSijakuekewa hapo kwenye mtaji + pesa yakukodishok.
Sijakuekewa hapo kwenye mtaji + pesa yakukodishaSawa.Sijakuekewa hapo kwenye mtaji + pesa yakukodisha
Fiberboat ya mita 7 ni 10million, engine yamaha au parsun 9hp budget ni 4.2m nyavu ni laki 3 mpaka 5.Inatosha bot hiyo pesa....hebu lete dealhzi ndo vitu za kufanya
Sahihi kabisa kama akitengeneza Ngwanda mwenyewe bei ni nafuu endapo ataingia porini kununua mbao mwenyewe.The same age but mfukoni ndo kwanza nnabuku..... Ila nnawazo la muda mrefu kidogo ila pesa za kukamilisha hilo ndo naendelea kuzichanga!!!!
TWENDE PAMOJA: Mimi nahitaji Ngwanda (n chombo Cha uvuvi baharini)
Gharama yake ni kama 10+ milion.... Kuchonga mpya pamoja na vifaa vyake Kama engine, generator, taa n.k
Gharama kwa used inapatikana kwa 7.5mil .... (Connection ninayo)
WAZO SHIRIKISHI.....
Kama utakuwa tayari, tushirikiane kwa namna ifuatayo:
*Wewe utanunua Ngwanda kwa 7.5 mil (uwe kama boss)
* Halafu tuingie mkataba unikodishie kwa gharama ya kila siku 30k (kazi itafanyika siku 20 kwenye mwezi)
*Lengo langu ni kuinunua hiyo Ngwanda, ambayo itanichukua miezi 10 kukamilisha pesa yako 7.5 mil, nikishainunua kutoka kwako tunakuwa tumemaliza
*Then baada ya hapo Kama tutaingia mkataba mwingine, sawa!!
FAIDA YAKO ITATOKA WAPI????
Twende pamoja:
Ndani ya miezi kumi ambayo nitakuwa naikusanya pesa ya kuinunua Ngwanda ya boss, zoezi letu la ukodishiwaji wa 30000 kwa siku litaendelea
hesabu: siku 20 za kazi × 30k = 600k.
Kwa miezi 10 👉 jumla 6mil ....... Hii n pesa ya kukodisha chombo
Then:. Mtaji + pesa ya kukodisha = 7.5mil + 6mil = 13.5mil
USALAMA WA MALI YAKO:
Kila kazi inachangamoto lakini hapa risk kubwa nitaichukua mimi.... Ikitokea chombo kimeenda baharini kikakosa hiyo wewe haikuhusu pesa yako ya kukodisha chombo ipo palepale
* Na ikitokea nimeenda kinyume na taratibu unaweza uza chombo chako.... Kwani Ngwanda haiwezi kosa mteja!!!
*Taratibu za uandikishanaji zitakuwa kisheria kabisa
* Usiwaze kuniajiri, tufanye kaz Kama mkataba wa bodaboda na bajaji n bora zaidi
*Haya kama deal ni zuri karibu inbox
NB: hatujasomea mambo ya biashara kwahyo ...we no nothing about business proposal..... Elimu yetu ndo hyo la 7 B, soma tu hvyohvyo ndugu!!
Hahahachukua 1m nenda bar mpka ikiisha ushapata wazo zuri tu ukiona imekata na bado hujapata wazo basi endelea kusevu pesa yako
Hii n fursa kubwa kaka.... Tanga kwa macho yangu nilishamuona jamaa yangu analaza m 2 kwa siku (siku hyo jamaa alivua samaki jodari wengi)Sahihi kabisa kama akitengeneza Ngwanda mwenyewe bei ni nafuu endapo ataingia porini kununua mbao mwenyewe.