Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,440
- 25,582
hapo zamani za kale ng'ombe na mbuzi walikuwa marafiki sana na wote walikuwa na mikia mirefu kama ng'ombe,ng'ombe akawa anatumia mkia wake kufukuzia nzi na wadudu mbalimbali lakini mbuzi kwa UVIVU wake akawa hautumii mkia wake,kwa vile mkia wa mbuzi ulikuwa hautumiki ukanywea na kuwa mfupi!ndio maana mbuzi ana mkia mfupi na anajaribu kuutumia mkia huo mfupi kufukuzia nzi na wadudu mbalimbali kwa vile amegundua asipofanya hivyo UTAYEYUKA KABISA!hadithi yangu imeishia hapa!
Aisee! wewe....