utakuwa familia ya kamerooni wewe
simjui mwanamke till now but im 24 years and graduate? but i some times tamani, i fear to seduce a girl since i hav no practical knowledge of love making.
Nampa pole huyo utakaye do naye for the first time maana anaweza kuumwa tumbo kwa ufanyaji wako wa kinjaa njaa,pia ushauri wangu ni kuwa hiyo siku utakayofanya hilo tendo jizibe mdomo kwa kutumia gundi au plasta maana unaweza jikuta unamuuma mwenzio kwa utamu utakao upata.
angalia mikanda ya porn,somavijarida,browse internet for adult content-mambo....utajifunza tu,mwisho jiamini wote hakuna aliyetufunza ukimpata wako utajua nini cha kufanya mbele ya safari.....:A S-baby::A S-baby:
Siku ukijaribu tu unapata UKIMWI
simjui mwanamke till now but im 24 years and graduate? but i some times tamani, i fear to seduce a girl since i hav no practical knowledge of love making.
atapiga puchu uyo ad mgongo upinde nakwambia!!!lol
unahofia kuipeleka sikioni? Natami upate ka lulu kakubandue lebo.
Ila hongera kwa kujitunza.
Miaka 24 ni umri mdogo sana wala si ajabu hata kidogo kama umeamua kujitunza mpaka uoe,hilo ni jambo jema Mie nina miaka 32 sijawahi kuwa na mahusiano yeyote ya kimwili na mwanamke chini ya jua na ninahisia kali sana tena labda zaidi hata ya hao wanaoshindwa kuvumilia.Ninataraji kuoa ndani ya miaka hii miwili ila namwomba Mungu anijalie mke anayeelewa nini maana ya ndoa takatifu.Na kamwe nimeapa sitatoka nje ya ndoa mpaka kufa hata kama nitakayempata atanisaliti au kunitendea ubaya wa aina gani.Nimejifunza kuishi kwa uaminifu mbele ya Mungu na wanadamu.Believe or not kutamani mwanamke ni natural na it is unkwepabo no matter what lakini kuamua kushirikiana nae kimwili ni jambo jingine ambalo linahitaji akili na maamuzi,kwa hiyo mimi naamini mtu yeyote akisema sitotenda hilo jambo no matter what the circumstances,utaweza.Nimepita yote from school to college na nimeishi gheto 15 years nikiwa huru sijatenda,je nini cha ajabu leo kwangu?Nimesha kaa Ulaya kwa miaka miwili tena ktk mazingira ambayo hata mwenye imani sijui!na nataka wanawake muamini kuwa wapo wanaume kibao ambao wanamisimamo ya uaminifu wa hali ya juu kwenye ndoa,shida ni hii.mfano mimi nawafahamu vijana kaadhaa kila ninapoishi wapo hivyo na wengi wao are my friends,wote kuoa swali linalowasumbua je mke mwema ni nani awezaye kumjua? naamini na akina dada wapo pia wengi tuu ila nao shida hawajui kam hawa wanaume wapo,usiamini mtu yeyote anayesema eti hakuna mwanamke au mwanamme mwaminifu leo au bikra huwezi kujua kwa macho,umdhaniaye siye ndie ndie kumbe sie but Mungu anawajua watu wake daima.