Nina mashaka na wanaoitwa wanyonge

wanyonge ndiyo siraha ya wana siasa uchwara.make ndiyo hivo watu wasiotaka kufanya kazi wazembe.wezi wanapenda kujiita.
Hao wanaojiona wanyonge wanatumiwa tu!!!

Hata chato inatumiwa tu.hkn mtu asiyependa ufisadi.hata malaika wote mafisadi. Mbinguni wataenda mafisadi, ole wako ulete habari za ulala hoi mbinguni adhabu mara mbili!!!! Fisadi number moja Mungu mwenyewe.Anasena Dunia na vyote vilivyomo.......saa si fisadi?

Ndo maana amekufa ni kinyume na maagizo ya Mungu!! Tulio wa Mungu sisi ni mafisadi kufuru si Mungu katupatia??

Ukiwa mlala hoi mbinguni huendi unaenda chafua tu vyoo vya kule.utanukishia majasho malaika wasafi.

kwa Mungu ni kusafi.ukienda kule utapewa mali kulingana ma utaalam mfano dreva wa ndege unapewa unaendesha yako..


Shetani alitaka Huo ufisadi akakosa ufisadi.sasa anataka walala hoi wenzake.na amewapata wengi mwingine huyu. Lkn mjiulize

Jitu lina midege jizi korofi.uaji .choyo.chuki.ubaguzi.linapiga cha juu. kinyongo kisichoisha bado litetee et wanyonge?? mbuurrlaaa!!
 
The hoi polloi, lumpenproletariat, na sasa wanyonge.

Ukisikia majina haya wanapewa watu ujue wanaandaliwa kudanganywa na kudharauliwa au vyote huku wakipakwa mafuta kwa mgongo wa chupa ili waendelee kuwa wafuasi.

Kwa maneno mengine wanaandaliwa kuwa tabaka la chini kabisa katika jamii.

Na wakishadanganyika ni vigumu sana kuwatoa huko kwa sababu unyonge ni kama uraibu wa mihadarati. Ukishakubali kuwa mnyonge unafurahia kuendelea kuwa mnyonge na kuwapenda wale wanaoshangilia unyonge wako huku ukiwachukia sana wale wanaojaribu kukutoa kwenye unyonge kwa kukuonesha ukweli.

Kukubali kufanywa mnyonge ni kukubali kufanywa mtumwa.
 

Walishachoka na wanyonge wasioenda shule.

Graduates mnaandaliwa kuwa wanyonge.

Amkeni mkatae unyonge akilini mwenu!
 
Wengi wa hao wanaoitwa ama kujiita WANYONGE wana tabia za kichawichawi na husda! Wana kawaida ya kushangilia matatizo ya wengine ili kujisahaulisha yao "wapo walioshangilia Manji kupata misukosuko huku wakiwa waajiriwa wake hii leo wanalia midomo juu kama...." TUTAHESHIMIANA TU
 

Wanyonge hawakawii kuwa waporaji(looters).

Ingawa wanapenda sana pia kuwa ombaomba(moochers)

Hii ni kwasababu wanaaminishwa sana kwenye uwepo wa vitu vya bure au vitu rahisi rahisi visivyohitaji uwekezaji na matumizi ya akili.
 
Wanyonge hawakawii kuwa waporaji(looters).

Ingawa wanapenda sana pia kuwa ombaomba(moochers)

Hii ni kwasababu wanaaminishwa sana kwenye uwepo wa vitu vya bure au vitu rahisi rahisi visivyohitaji uwekezaji na matumizi ya akili.
Na tuko yodi chache kufikia kwenye looting kama hakutakuwa na immediate serious intervention kutoka kwa serikali na jamii yote.
 
Halafu mambumbumbu sasa
Wanashindwa kufikiria kuwa Raisi anayeupenda ufukara na kujivunia ufukara wa mtu atakuwa ni raisi wa ajabu asiyependa mtu yeyote afanikiwe kimaisha. Magufuli alikuwa anatamani wananchi wote wawe wanyonge (watu wa hali ya chini) hivyo ni ngumu kwa mnyonge kutoboa kuwa tajiri zaidi ya tajiri kufanywa kuwa masikini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…