wanyonge ndiyo siraha ya wana siasa uchwara.make ndiyo hivo watu wasiotaka kufanya kazi wazembe.wezi wanapenda kujiita.Sifa kubwa ya 'wanyonge' ni watu wasiojielewa.. wanajua shida ni kiungo mojawapo kwenye mwili. Hawajui nini kinatakiwa au kilitakiwa kufanyika, hawajui kazi ya watawala wao ni nini.
Ndio maana Marekani walitilia shaka uwezo wa 'wanyonge' kuchagua kiongozi wa nchi, wakaamua watu wachache wenye busara(electoral college) ndio wachague Rais!
Tokea 2015 graduates tunabangaiza mtaani. Tunaambiwa tujiajiri, lakini wao wameajiriwa na hawataki hata kustaafu. Na waliopo kwenye ajira hawapandishwi ili wapya waingie kwenye system na waliofanikiwa kujiajiri biashara zimekua ngumu sababu mtaani hakuna pesa. RIP
Wengi wa hao wanaoitwa ama kujiita WANYONGE wana tabia za kichawichawi na husda! Wana kawaida ya kushangilia matatizo ya wengine ili kujisahaulisha yao "wapo walioshangilia Manji kupata misukosuko huku wakiwa waajiriwa wake hii leo wanalia midomo juu kama...." TUTAHESHIMIANA TUHabari wanajamvi !
Awali ya yote poleni kwa msiba! Niende moja kwa moja kwenye mada. Wanyonge wana shida tena kubwa sana. Twendeni pamoja taratibu mtajua shida ilipo. Siku moja nikiwa mahali fulani nikasikia mnyonge mmoja anasema ' afadhali sasa tumeanza kuheshimiana.' Kwake yeye kitendo cha watumishi wa umma kutokuongezewa mishahara kwa kipindi cha miaka mitano, yeye alifarijika sana.
Wanyonge wapo wengi sana! Karibu wote hufurahia madhira wayapatao watumishi wa umma au wafanyabiashara waliofanikiwa. Nikamsikia mnyonge mmoja anafurahia kuona wahitimu wa vyuo vikuu wakiishia kuchoma mahindi au kuosha magari baada ya kukosa ajira serikalini au taasisi binafsi.Kwao wao wote tukiwa masikini ndio faraja yao.
Nilikuwepo siku wakazi Wa Ubungo mpaka Mbezi huko wakibomolewa nyumba zao bila fidia yoyote , nikamsikia mnyonge mmoja anasema ' huyo ndio Magu bwana , hana huruma na mafisadi bwana' . Kwake yeye kila mwenye nyumba nzuri ni fisadi.
Wanyonge mahali fulani ni wajinga! Ndio maana wanatumiwa na wanasiasa kama stepping stone. Wanatumika na manabii wa uongo kujitajirisha. Wana fikiria wanaweza kuwa matajiri kwa kuombewa...! Bila kufanya kazi.
Juzi nimeona wanao lia na kuzimia wengi ni hao masikini wavaa kandambili. Sijaona hata waziri mmoja akizimia.
SASA JIULIZE KATI YA WAZIRI NA HAWA WANYONGE NANI ALIMFAHAMU KWA KARIBU RAIS MAGUFULI? wanyonge badilikeni!!
Wanyonge ni watu Masikini.
Na umasikini wao wengi wa kupenda au wrong choices.
Wanyonge hao hao wanatumiwa na elites kunyonya na kufurahia madhila ya watu wengine kwa manufaa ya wachache..
Wanyonge ni tool ya kuendelea kutawala.. ukiwasikiliza ukawafanyia yanayokonga nyoyo zao.. watakupa kura.
Wanyonge ni wezi, wazurumaji, matapeli.. na wamejaa kila mahala.. imagine unauza Mikanda kwenye duka unalolipa kodi, na unaleseni ya biashara.. anakuja mtu na mbao za kuokota anagonga gonga mbele ya duka lako anaanza kuuza Mikanda bila kodi ya pango wala EFD mashine.. yeye ana kitambulisho cha mmachinga.. mnyonge huyo.
Biashara zinakufa, wenye majengo ya kukodisha wanakosa wateja, wenye maduka wanalalamika.. ila mnyonge yeye kwake.burdani kabisa...
Unatoa fedha unalipa fidia unanunua shamba.. unapima unamilikishwa... Wanakuja wanyonge wanataka uwapishe kisa wewe wanaona huna kazi nalo.. ndio maana liko wazi... Na serikali sikivu inakunyang'anya inawapa.. walijawa kiburi mno sikuwahi kuona kabla..
Wana sense of intittlement ... Hawajali na ni waharibifu sana. Hawajui haya yote wanayoyakimbilia na kuona wamepata ni very short lived.. na hatima yake inadumaza the entire economy.. wanyonge.
Hawawezi kukubali hata kidogo...
Na tuko yodi chache kufikia kwenye looting kama hakutakuwa na immediate serious intervention kutoka kwa serikali na jamii yote.Wanyonge hawakawii kuwa waporaji(looters).
Ingawa wanapenda sana pia kuwa ombaomba(moochers)
Hii ni kwasababu wanaaminishwa sana kwenye uwepo wa vitu vya bure au vitu rahisi rahisi visivyohitaji uwekezaji na matumizi ya akili.
Wanashindwa kufikiria kuwa Raisi anayeupenda ufukara na kujivunia ufukara wa mtu atakuwa ni raisi wa ajabu asiyependa mtu yeyote afanikiwe kimaisha. Magufuli alikuwa anatamani wananchi wote wawe wanyonge (watu wa hali ya chini) hivyo ni ngumu kwa mnyonge kutoboa kuwa tajiri zaidi ya tajiri kufanywa kuwa masikiniHalafu mambumbumbu sasa