Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Unajua TRA ni wazembe sana.
HR wa TRA alikua na doc za mama yangu toka amestaafu 24/5/2021 na amekaa nazo tuu hajazipeleka PSSSF hadi jana tarehe 01/10/2021.
Sasa hii ni haki kweli kwa mtu aliyestaafu akitegemea alipwe mafao.
Human Resource officer anakaa na documents mezani kwake to mwezi wa tano hadi mwezi wa kumi yaani five months anakaa na documents bila kuzifanyia kazi na kuzipeleka zinakotakiwa yaani PSSSF.
Miezi aliyokaa nayo ni muda wa pension yake kumature kwa maana now angeanza kupata pension yake. Hii ni halali kweli?
Au anatengeneza mazingira ya rushwa?
Naombeni msaada hili suala nianzie wapi ili Mama yangu atendewe haki na apate haki yake.
Mtanisamehe Sana Kama Sio Pahala Sahihi Pa Kuongelea Hili Jambo Wakuu
HR wa TRA alikua na doc za mama yangu toka amestaafu 24/5/2021 na amekaa nazo tuu hajazipeleka PSSSF hadi jana tarehe 01/10/2021.
Sasa hii ni haki kweli kwa mtu aliyestaafu akitegemea alipwe mafao.
Human Resource officer anakaa na documents mezani kwake to mwezi wa tano hadi mwezi wa kumi yaani five months anakaa na documents bila kuzifanyia kazi na kuzipeleka zinakotakiwa yaani PSSSF.
Miezi aliyokaa nayo ni muda wa pension yake kumature kwa maana now angeanza kupata pension yake. Hii ni halali kweli?
Au anatengeneza mazingira ya rushwa?
Naombeni msaada hili suala nianzie wapi ili Mama yangu atendewe haki na apate haki yake.
Mtanisamehe Sana Kama Sio Pahala Sahihi Pa Kuongelea Hili Jambo Wakuu