MARCKO
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 2,258
- 275
Kwa hesma kubwa na taadhima, nawasalimu nyote wana-jf.
Mimi ni mwalimu wa sekondari niliesomea uwalimu kwa opportunity tu, na siyo "inness" yangu.
Nilitamani sana baada ya six niende kusomea muziki Bagamoyo ila Ndugu zangu walinikataza. Ninayo BA(Ed) kutoka UDSM-DUCE(2011).
NINAWEZA KUTUNGA NYIMBO KWA KUTUMIA VINA KWA MUDA MFUPI , NA IKAPENDEZA.
Naombeni msaada Ndugu zangu wa JF huenda nikatoka ki maisha, na hasa ikizingatia nina miaka 26 sasa.
Hata mawazo ni msaada.
Mimi ni mwalimu wa sekondari niliesomea uwalimu kwa opportunity tu, na siyo "inness" yangu.
Nilitamani sana baada ya six niende kusomea muziki Bagamoyo ila Ndugu zangu walinikataza. Ninayo BA(Ed) kutoka UDSM-DUCE(2011).
NINAWEZA KUTUNGA NYIMBO KWA KUTUMIA VINA KWA MUDA MFUPI , NA IKAPENDEZA.
Naombeni msaada Ndugu zangu wa JF huenda nikatoka ki maisha, na hasa ikizingatia nina miaka 26 sasa.
Hata mawazo ni msaada.