Nina kazi ya sales kwenye kampuni

MR UNINFORMED

JF-Expert Member
Sep 8, 2013
1,067
1,201
Nina kazi ya sales kwenye kampuni yangu changa: mshahara 250,000/= fixed.

Location: Kigamboni.

Aina ya kazi: Salesperson: Vinywaji (soft drinks) kwa kutumia VAN.

Contract ni miezi 3 renewable based on performance.

Muda wa kazi : Saa 2 asb hadi 10 jioni. Jumatatu hadi Jumamosi.

Commission: Commission ipo kama utazidi malengo ya mauzo kwa mwezi.

Gender: Kazi inahusisha mizunguko mingi na beba shusha ya mizigo - preffered gender ni Me hata hivyo KE pia anaweza kufanya.

Sifa muhimu: Ujuzi wa kuuza kwa wateja wa aina zote (Mahotel, Taasisi, Maduka makubwa kwa madogo).

Elimu: Elimu yoyote ili mradi anajua kufanya mauzo na kusimamia mahusiono mazuri na wateja.

Lugha: Awe na ufasaha wa lugha ya kiswahili na kiingereza.

Makazi: Akiwa anaishi au kuweza kuhamia kigamboni itafaa itapendeza zaidi.

Wadhamini: Awe na wadhamini wawili waajiriwa wa serikali au kampuni binafsi zenye wasifu mkubwa Tanzania mfano: NMB au Azam na nyinginezo.

Sifa za ziada: Akiwa na leseni ya udereva itakuwa bora zaidi lakin sio lazima.

Muda wa kuanza kazi: Tarehe 1 August 2023.

Maelezo zaidi: Karibu inbox.

Asante.
 
Mkuu tafadhali sana naomba hata email yako basi maana huku nashindwa ku'reach PM yako.

Naziainisha credentials zangu hapo chini just incase;

Location: Kibada, Kigamboni

Relevant work experience: 4 months sales of TVS spare parts

Age: 24 years old

Gender: Male (strong)

Education: Bachelor's degree in management of social development

Languages: English & Kiswahili (I speak and write both fluently)
Hi Brother - share via rendolimitedtz@gmail.com
 
Nina kazi ya sales kwenye kampuni yangu changa: mshahara 250,000/= fixed.

Location: Kigamboni.

Aina ya kazi: Salesperson: Vinywaji (soft drinks) kwa kutumia VAN.

Contract ni miezi 3 renewable based on performance.

Muda wa kazi : Saa 2 asb hadi 10 jioni. Jumatatu hadi Jumamosi.

Commission: Commission ipo kama utazidi malengo ya mauzo kwa mwezi.

Gender: Kazi inahusisha mizunguko mingi na beba shusha ya mizigo - preffered gender ni Me hata hivyo KE pia anaweza kufanya.

Sifa muhimu: Ujuzi wa kuuza kwa wateja wa aina zote (Mahotel, Taasisi, Maduka makubwa kwa madogo).

Elimu: Elimu yoyote ili mradi anajua kufanya mauzo na kusimamia mahusiono mazuri na wateja.

Lugha: Awe na ufasaha wa lugha ya kiswahili na kiingereza.

Makazi: Akiwa anaishi au kuweza kuhamia kigamboni itafaa itapendeza zaidi.

Wadhamini: Awe na wadhamini wawili waajiriwa wa serikali au kampuni binafsi zenye wasifu mkubwa Tanzania mfano: NMB au Azam na nyinginezo.

Sifa za ziada: Akiwa na leseni ya udereva itakuwa bora zaidi lakin sio lazima.

Muda wa kuanza kazi: Tarehe 1 August 2023.

Maelezo zaidi: Karibu inbox.

Asante.
Kaka nipe namba nikupigie boss tuanze kazi
 
Nina kazi ya sales kwenye kampuni yangu changa: mshahara 250,000/= fixed.

Location: Kigamboni.

Aina ya kazi: Salesperson: Vinywaji (soft drinks) kwa kutumia VAN.

Contract ni miezi 3 renewable based on performance.

Muda wa kazi : Saa 2 asb hadi 10 jioni. Jumatatu hadi Jumamosi.

Commission: Commission ipo kama utazidi malengo ya mauzo kwa mwezi.

Gender: Kazi inahusisha mizunguko mingi na beba shusha ya mizigo - preffered gender ni Me hata hivyo KE pia anaweza kufanya.

Sifa muhimu: Ujuzi wa kuuza kwa wateja wa aina zote (Mahotel, Taasisi, Maduka makubwa kwa madogo).

Elimu: Elimu yoyote ili mradi anajua kufanya mauzo na kusimamia mahusiono mazuri na wateja.

Lugha: Awe na ufasaha wa lugha ya kiswahili na kiingereza.

Makazi: Akiwa anaishi au kuweza kuhamia kigamboni itafaa itapendeza zaidi.

Wadhamini: Awe na wadhamini wawili waajiriwa wa serikali au kampuni binafsi zenye wasifu mkubwa Tanzania mfano: NMB au Azam na nyinginezo.

Sifa za ziada: Akiwa na leseni ya udereva itakuwa bora zaidi lakin sio lazima.

Muda wa kuanza kazi: Tarehe 1 August 2023.

Maelezo zaidi: Karibu inbox.

Asante.
Nipo Manzese Dar es Salaam Nahitaji mkuu
 
Nina kazi ya sales kwenye kampuni yangu changa: mshahara 250,000/= fixed.

Location: Kigamboni.

Aina ya kazi: Salesperson: Vinywaji (soft drinks) kwa kutumia VAN.

Contract ni miezi 3 renewable based on performance.

Muda wa kazi : Saa 2 asb hadi 10 jioni. Jumatatu hadi Jumamosi.

Commission: Commission ipo kama utazidi malengo ya mauzo kwa mwezi.

Gender: Kazi inahusisha mizunguko mingi na beba shusha ya mizigo - preffered gender ni Me hata hivyo KE pia anaweza kufanya.

Sifa muhimu: Ujuzi wa kuuza kwa wateja wa aina zote (Mahotel, Taasisi, Maduka makubwa kwa madogo).

Elimu: Elimu yoyote ili mradi anajua kufanya mauzo na kusimamia mahusiono mazuri na wateja.

Lugha: Awe na ufasaha wa lugha ya kiswahili na kiingereza.

Makazi: Akiwa anaishi au kuweza kuhamia kigamboni itafaa itapendeza zaidi.

Wadhamini: Awe na wadhamini wawili waajiriwa wa serikali au kampuni binafsi zenye wasifu mkubwa Tanzania mfano: NMB au Azam na nyinginezo.

Sifa za ziada: Akiwa na leseni ya udereva itakuwa bora zaidi lakin sio lazima.

Muda wa kuanza kazi: Tarehe 1 August 2023.

Maelezo zaidi: Karibu inbox.

Asante.
Kila la kheri mkuu,Mimi ninauzoefu wa sales na merchandising nipo Dodoma kama utapanua soko karibu tushirikiane
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom