Hata kama anazo zote active, atajiingizaje? Hilo la kwanza, la pili mtu hauwezi kujitekenya mwenyewe ukatekenyeka na kupata raha, lazima utekenywe na mtu mwingine ndiyo hilo tekenyo lifanye kazi.KAMA ZOTE ZPO ACTIVE, SI UJIINGZE? ME NACHOJUA MOJA HAIWI ACTIVE
ulivyojiami jaribu gone dawa yakoo
Unaanza kuboa sasa. Jibu maswali uliyoulizwa mfano Kama unakojolea K au dushe. Je ulishawahi kula k ya msichana? Ndugu yangu kufumua marinda ya mwanaume ni sawa na kifo.
Loooooooooh!!!! Pole sana kaka/dada yangu! Uliwahi kuonana na doctor?
Hongera sana nasikia umemuoa/umeolewa na huyu huyu Behaviourist mzee wa chura churaniZote
DuHabarini za jioni wana jamii wenzangu,
Ni Mara yangu ya kwanza kujiunga hapa, ninatafuta mpenzi wa kweli, mimi ni mwanamke mrembo lakini nina jinsia mbili ya kike na ya kiume, nimeteseka sana kupata mwenza, naomba ambaye yupo tayari ani PM. Umri wangu miaka 30 ninaishi Arusha.
Nipo serious,asanteni
Ishi ndoa ya mitara, olewa kwingine oa.Sasa si utafute wapenzi na sio mpenzi au unataka fanya nipe nikupe