Nina jinsia mbili, natafuta mpenzi

Status
Not open for further replies.
KAMA ZOTE ZPO ACTIVE, SI UJIINGZE? ME NACHOJUA MOJA HAIWI ACTIVE
Hata kama anazo zote active, atajiingizaje? Hilo la kwanza, la pili mtu hauwezi kujitekenya mwenyewe ukatekenyeka na kupata raha, lazima utekenywe na mtu mwingine ndiyo hilo tekenyo lifanye kazi.
 
Haiwezekani kuwa zote active lazima moja iwe zaidi ya nyingine, uume utoe mbegu then mwisho wa siku upate hedhi ni suala haliwezkan.
 
  • Thanks
Reactions: sab
Mimi mmoja nilisoma nae shule moja hivi lakini kwasasa hutamdhania tena maana tunapichana nae kwenye kufukuzia papuchi
 
Habarini za jioni wana jamii wenzangu,

Ni Mara yangu ya kwanza kujiunga hapa, ninatafuta mpenzi wa kweli, mimi ni mwanamke mrembo lakini nina jinsia mbili ya kike na ya kiume, nimeteseka sana kupata mwenza, naomba ambaye yupo tayari ani PM. Umri wangu miaka 30 ninaishi Arusha.

Nipo serious,asanteni
Du
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom