Nina jinsia mbili, natafuta mpenzi

Status
Not open for further replies.

nyantumba

Senior Member
May 22, 2016
166
265
Habarini za jioni wana jamii wenzangu,

Ni Mara yangu ya kwanza kujiunga hapa, ninatafuta mpenzi wa kweli, mimi ni mwanamke mrembo lakini nina jinsia mbili ya kike na ya kiume, nimeteseka sana kupata mwenza, naomba ambaye yupo tayari ani PM. Umri wangu miaka 30 ninaishi Arusha.

Nipo serious,

asanteni
 
Pole sana ila natamani ueleze kama zote ni active, iweje uamue kuwa unamtaka mwenza wa kiume?? Huoni hapo ni hatari kuwa waweza siku asipokutimizia kisawasawa ukam nanihinoo?

Pili, ni ipi iko juu ya nyingine? Kwani kuna wengine dume iko juu ya k hata kojoo hutokea k.

Haya ni mambo ya kuangalia ili weye usimchukie mwenzio atakaye jitosa.
 
Habarini za jioni wana jamii wenzangu, ni Mara yangu ya kwanza kujiunga hapa, ninatafuta mpenzi Wa kweli, Mimi ni mwanamke mrembo lakini Nina jinsia mbili ya like Na ya kiume, nimeteseka sana kupata mwenza, naomba ambaye yupo tayari ani PM. Umri wangu miaka 30 ninaishi Arusha.nipo serious . asanteni

Sasa kma jinsia zote unazo si ujihudumie ww mwenyewe
 
Hmmmm! ipi ambayo mwenyewe ungependa kuitumia maishani mwako moja au zote? Kuliwahi kuwa na uzi humu wa jamaa ambaye alikuwa na dada yake baba mmoja mama mmoja na maishani mwake siku zote alijua dada yake ni mwanamke. Na alikuwa na mashoga zake ni warembo sana na mdogo mtu wa kiume hadi wengine kuwamezea mate. siku moja wawili wakaja kumtembelea dada yake nyumbani kwao na yeye akiwepo. Kisha hao wakatokomea chumbani. Mdogo mtu hakuona cha ajabu maana kwa mashoga walioshibana kuingizana chumbani si kitu cha ajabu hata kidogo. Baadaye kukaanguka varangati la kukata na shoka kule chumbani, mdogo tu akavumilia lakini uvumilivu ukamshinda maana kelele zilizidi kuongezeka na akaona asije kuumia mtu au hata kufa hivyo akaamua kuingia kule chumbani kwa nguvu na ndipo kumkuta dada yake akiwa uchi wa nyama huku dushe limesimama. Inawezekana details haziko 100% accurate lakini huo uzi umo humu na kama kumbukumbu zangu ni nzuri ulipata wachangiaji wengi sana.

 
Habarini za jioni wana jamii wenzangu, ni Mara yangu ya kwanza kujiunga hapa, ninatafuta mpenzi Wa kweli, Mimi ni mwanamke mrembo lakini Nina jinsia mbili ya like Na ya kiume, nimeteseka sana kupata mwenza, naomba ambaye yupo tayari ani PM. Umri wangu miaka 30 ninaishi Arusha.nipo serious . asanteni

Kama upo serious kweli mm nakuitaji.ipo nipo visiwani
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom