Nina hofu ya kifo sana

Nina hofu ya kifo sana

Zee la madawa

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,734
Reaction score
4,081
Wakuu naombeni msaada wa kisaikolojia aisee nina hofu ya kifo hali inayopelekea kutofanya kazi kwa ufanisi na hali inayopelekea nishindwe kujiamini na kushindwa kutafuta pesa kwa nguvu wakuu

Wakuu nina hofu kubwa ya kushindwa Sana na nakosa confidence Sana naombeni msaada wa kisaikolojia wakuu pia nakumbwa na mawazo hasi
 
Wakuu naombeni msaada wa kisaikolojia aisee nina hofu ya kifo hali inayopelekea kutofanya kazi kwa ufanisi na hali inayopelekea nishindwe kujiamini na kushindwa kutafuta pesa kwa nguvu wakuu

Wakuu nina hofu kubwa ya kushindwa Sana na nakosa confidence Sana naombeni msaada wa kisaikolojia wakuu pia nakumbwa na mawazo hasi
Toa sadaka makanisani na misikitini
 
Wakuu naombeni msaada wa kisaikolojia aisee nina hofu ya kifo hali inayopelekea kutofanya kazi kwa ufanisi na hali inayopelekea nishindwe kujiamini na kushindwa kutafuta pesa kwa nguvu wakuu

Wakuu nina hofu kubwa ya kushindwa Sana na nakosa confidence Sana naombeni msaada wa kisaikolojia wakuu pia nakumbwa na mawazo hasi
Usiogope kifo,kifo kipo tuu!, Kwanza kuzaliwa,pili Mapenzi,tatu ni kifo na huja wakati wowote!
 
Wakuu naombeni msaada wa kisaikolojia aisee nina hofu ya kifo hali inayopelekea kutofanya kazi kwa ufanisi na hali inayopelekea nishindwe kujiamini na kushindwa kutafuta pesa kwa nguvu wakuu

Wakuu nina hofu kubwa ya kushindwa Sana na nakosa confidence Sana naombeni msaada wa kisaikolojia wakuu pia nakumbwa na mawazo hasi
Wakati unakufa kila siku. Unachoogopa nini sasa? Jitahidi kutembelea hospital ujionee watu wanavyokata roho na kutolewa mochwari.so it is the matter of time you will die like others
 
Back
Top Bottom