fogoh2
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 5,896
- 6,072
Umeyaona wapi ??Nimeyaishi na Bado nayaona!
Umeyaona wapi ??Nimeyaishi na Bado nayaona!
Siku ya kufa ( dr. Remy Ongala) RIPSiku ya kufa ikifika hautaogopa...
Mtafute Tulia ukae karibu naye kwani amesema ameahirisha kifo mpaka uchaguzi uishe.Wakuu naombeni msaada wa kisaikolojia aisee nina hofu ya kifo hali inayopelekea kutofanya kazi kwa ufanisi na hali inayopelekea nishindwe kujiamini na kushindwa kutafuta pesa kwa nguvu wakuu
Wakuu nina hofu kubwa ya kushindwa Sana na nakosa confidence Sana naombeni msaada wa kisaikolojia wakuu pia nakumbwa na mawazo hasi
Toka hapo Kwa bibiako ukajitegemee utasahau kabisa kuwa kuna kufaWakuu naombeni msaada wa kisaikolojia aisee nina hofu ya kifo hali inayopelekea kutofanya kazi kwa ufanisi na hali inayopelekea nishindwe kujiamini na kushindwa kutafuta pesa kwa nguvu wakuu
Wakuu nina hofu kubwa ya kushindwa Sana na nakosa confidence Sana naombeni msaada wa kisaikolojia wakuu pia nakumbwa na mawazo hasi
Kifo ni kitu kizuri sana utakuja kugundua baadaye.Wakuu naombeni msaada wa kisaikolojia aisee nina hofu ya kifo hali inayopelekea kutofanya kazi kwa ufanisi na hali inayopelekea nishindwe kujiamini na kushindwa kutafuta pesa kwa nguvu wakuu
Wakuu nina hofu kubwa ya kushindwa Sana na nakosa confidence Sana naombeni msaada wa kisaikolojia wakuu pia nakumbwa na mawazo hasi
Pole sana mkuuWakuu naombeni msaada wa kisaikolojia aisee nina hofu ya kifo hali inayopelekea kutofanya kazi kwa ufanisi na hali inayopelekea nishindwe kujiamini na kushindwa kutafuta pesa kwa nguvu wakuu
Wakuu nina hofu kubwa ya kushindwa Sana na nakosa confidence Sana naombeni msaada wa kisaikolojia wakuu pia nakumbwa na mawazo hasi
Kwanini huwa hivo mkuu?Kama umefika miaka 30 mpka 35 hiyo ni hali ya kawaida kabisa ukivuka hapo utarudi kawaida tu