Nina hakika hili lilishakutokea hata wewe

Nina hakika hili lilishakutokea hata wewe

Jaribu kumtafuta kwenye mitandao ya jamii kama Facebook, na CRB. Hebu ungetuwekea alichofanya tushee(share) experience.

Fb nimemtafuta kwa jina hilo but nahic nakosea unless awe hajaweka picha ambayo naweza kumtambua!

CRB nimeuliza tena kuna baadhi ya watu ambao nawafaham kabisa huko but kwa hilo jina hatambui (kitu ambacho nahic wanajuana kwa majina ya makumpuni yao zaid) unless watu wawe wanafahamian from a long way!

Ilikuwa hiv
Nilikutana na huyu mheshimiwa wakiwa kwenye semina ya CRB Mkoa fulani, hapo mahali walipotumia kisemina ndipo nilipokuwa napatumia sana kupata mkate wangu wa kila siku (tubiashara coz palikuwa panaleta watu sana) mtaji wangu ukiwa laki moja baada ya kuikusanya almost miaka 2 (you won't believe this )

Siku 5 za semina yao,alifanya haya!
1. (Sidhan kama alitaka kweli kununua biashara yangu) akawa ananisema kwa stail ya maswali sanaaaaaaaa! And of the day akanipa ushaur kama napenda na naweza nirud shule! Of which naona aligundua napenda ila maisha hayajaruhusu, (nakumbuka alisema unaonekana ukiwa binti mzuri rudi shule itakusaidia ) I DID AS HE DREAMED (nakumbuka hiyo day 2 ya semina ilikuwa, mda wake wote wa lunch alitumia hapo kupiga story na mimi) mwenyewe nikiwa niko busy kukaribisha watu kwa ajili ya riziki,

2. Day 3 ya semina, the same time, (lunch time) akaja akiwa anataka mrejesho wa ushauri wake je nimeuchukuliaje ! Nilianza kumuona kama ananifuatilia sana maisha yangu, nakumbuka nilimjibu in a very like rude way! Wala hakuonesha kuchkizwa cha ajabu akanipa hela nikale (nakumbuka moyoni nilianza kumuona wale wale kasoro majina) akasema lifanyie kazi suala la shule!! Akaondoka

3. Day 4 ya semina yao, akaja na kunipa business card, aliongea sana siku ile, akiwa kagundua kuwa nampuuza, akasema acha na hizi biashara, nikisema nikusaidie mtaji iko siku utaibiwa na hakutokuwa na biashara tena, umri wako bado unaruhusu kurudi shule nenda shule! Akasema ukiwa tayar mda wowote niambie namba hizo hapo nimekula naongea na wewe kama mdogo wangu wala sio kama unavonifikia! Akaondoka ( only God knows nilivojisikia siku ile nililia sana Nilipofika home)

Siku ya 5 ya semina yao na ikiwa ndo ya mwisho mimi sikuenda , but nilipoenda nikakuta matatizo kwa secretary wa pale kwamba kuna mtu Anasema amekupa namba umpigie! Nilitumia simu ya yule dada, aliongea sana yule kaka, akasema ntapiga baada ya siku mbili uwe umetafuta shule!

In short,
Nilitafuta shule (kimasihara tu maana nilikuwa hata siamin) ajabu alituma hela nakumbuka kwa njia ya basi, akiwa amefunga na vitu vingine kukiwemo na simu (so mtu asingeweza kujua kama kuna hela na alimkabidhi dereva ) nikapokea na kurudi shule tena, na kila nilipohitaj maskin hajawahi kusita hadi nimeliza! (Ilikuwa level ya advance )

Niwakumbushe tu tangu ile semina hatujaonana kwa macho zaid ya kumweleza kwa simu nilipofikia na hajawah kunikatisha tamaa kabisa!
Na alilipa ada zoooooooote na pocket money juu! (Mtaniuliza wazazi wangu je! Yaachen it's another long story )

Nilitafuta kibarua, thank God nikapata, nikamwambia kwa simu tu (I took him more than a brother to me since then) good or bad nikapangiwa mkoa mwingine nikamjuza akanitia moyo sana kuwa maisha ni popote!

Tulivopoteana sasa,
Nikiwa kikazi kule tukavamiwa nilipokuwa naishi, was bad indeed (tuliibiwa kila kitu in short tulisafishwa na simu zikaibiwa)
 
Niliwahi kuanguka kutoka ghorofa ya tatu hadi chini, nikapelekwa amana, sio siri yule dada alinihudumia vizuri sana, kama vile private, niliwah kwenda cku moja wakaniambia ameingia shift nyingine, nakushukuru sana dada mary siku moja nitakuja kusema ahsante mbele yako
 
Fb nimemtafuta kwa jina hilo but nahic nakosea unless awe hajaweka picha ambayo naweza kumtambua!

CRB nimeuliza tena kuna baadhi ya watu ambao nawafaham kabisa huko but kwa hilo jina hatambui (kitu ambacho nahic wanajuana kwa majina ya makumpuni yao zaid) unless watu wawe wanafahamian from a long way!

Ilikuwa hiv
Nilikutana na huyu mheshimiwa wakiwa kwenye semina ya CRB Mkoa fulani, hapo mahali walipotumia kisemina ndipo nilipokuwa napatumia sana kupata mkate wangu wa kila siku (tubiashara coz palikuwa panaleta watu sana) mtaji wangu ukiwa laki moja baada ya kuikusanya almost miaka 2 (you won't believe this )

Siku 5 za semina yao,alifanya haya!
1. (Sidhan kama alitaka kweli kununua biashara yangu) akawa ananisema kwa stail ya maswali sanaaaaaaaa! And of the day akanipa ushaur kama napenda na naweza nirud shule! Of which naona aligundua napenda ila maisha hayajaruhusu, (nakumbuka alisema unaonekana ukiwa binti mzuri rudi shule itakusaidia ) I DID AS HE DREAMED (nakumbuka hiyo day 2 ya semina ilikuwa, mda wake wote wa lunch alitumia hapo kupiga story na mimi) mwenyewe nikiwa niko busy kukaribisha watu kwa ajili ya riziki,

2. Day 3 ya semina, the same time, (lunch time) akaja akiwa anataka mrejesho wa ushauri wake je nimeuchukuliaje ! Nilianza kumuona kama ananifuatilia sana maisha yangu, nakumbuka nilimjibu in a very like rude way! Wala hakuonesha kuchkizwa cha ajabu akanipa hela nikale (nakumbuka moyoni nilianza kumuona wale wale kasoro majina) akasema lifanyie kazi suala la shule!! Akaondoka

3. Day 4 ya semina yao, akaja na kunipa business card, aliongea sana siku ile, akiwa kagundua kuwa nampuuza, akasema acha na hizi biashara, nikisema nikusaidie mtaji iko siku utaibiwa na hakutokuwa na biashara tena, umri wako bado unaruhusu kurudi shule nenda shule! Akasema ukiwa tayar mda wowote niambie namba hizo hapo nimekula naongea na wewe kama mdogo wangu wala sio kama unavonifikia! Akaondoka ( only God knows nilivojisikia siku ile nililia sana Nilipofika home)

Siku ya 5 ya semina yao na ikiwa ndo ya mwisho mimi sikuenda , but nilipoenda nikakuta matatizo kwa secretary wa pale kwamba kuna mtu Anasema amekupa namba umpigie! Nilitumia simu ya yule dada, aliongea sana yule kaka, akasema ntapiga baada ya siku mbili uwe umetafuta shule!

In short,
Nilitafuta shule (kimasihara tu maana nilikuwa hata siamin) ajabu alituma hela nakumbuka kwa njia ya basi, akiwa amefunga na vitu vingine kukiwemo na simu (so mtu asingeweza kujua kama kuna hela na alimkabidhi dereva ) nikapokea na kurudi shule tena, na kila nilipohitaj maskin hajawahi kusita hadi nimeliza! (Ilikuwa level ya advance )

Niwakumbushe tu tangu ile semina hatujaonana kwa macho zaid ya kumweleza kwa simu nilipofikia na hajawah kunikatisha tamaa kabisa!
Na alilipa ada zoooooooote na pocket money juu! (Mtaniuliza wazazi wangu je! Yaachen it's another long story )

Nilitafuta kibarua, thank God nikapata, nikamwambia kwa simu tu (I took him more than a brother to me since then) good or bad nikapangiwa mkoa mwingine nikamjuza akanitia moyo sana kuwa maisha ni popote!

Tulivopoteana sasa,
Nikiwa kikazi kule tukavamiwa nilipokuwa naishi, was bad indeed (tuliibiwa kila kitu in short tulisafishwa na simu zikaibiwa)

Nimekuelewa sana, ila naona kama hujamalizia so nabaki na maswali fulani, ahsante kwa kutushirikisha life experience yako.
 
Mkuu dhamira yako ndio faraja yako..dhamira yako ni dhahiri ulikuwa unataka kulipa fadhila lakina ndo imeshindikana...kuwa na amani...unaweza pia kuwatafuta watu wake wa karibu sana mf watt na kuwasaidia kama ni wahitaji uenda itasaidia
 
Ile ya mwizi wa temeke sikubahatika kuimalizia mkuu, nadhani gazeti lililofuata sikulipata, ...niliishia alipofika jalalani akajifanya chizi, na yule dogo alieombwa amsetiri akawapoteza maboya wale wananchi wenye hasira.....

Duu pole ilikuwa bonge la stori baada ya pale jamaa alifanikiwa kuondoka salama na ndio ikawa mwisho wa kuiba, akaanza maisha mapya akawa mfanyabiashara wa kiwango chake siku moja akiwa anapita mitaa ile alikuta kuna watu wametupiwa vyombo nje hawana kodi na walikuwa ni kijana na mwanamke mmoja yule mwanamke alikuwa mgonjwa kalala chini

Yule kijana ndio yule aliyemuokoa mshkaji miaka ya nyuma. Jamaa alimchukua yule mama na kumpeleka hospital Temeke na akamchukua yule dogo nyumbani kwake alikuja kuwasaidia sana
 
Duu pole ilikuwa bonge la stori baada ya pale jamaa alifanikiwa kuondoka salama na ndio ikawa mwisho wa kuiba, akaanza maisha mapya akawa mfanyabiashara wa kiwango chake siku moja akiwa anapita mitaa ile alikuta kuna watu wametupiwa vyombo nje hawana kodi na walikuwa ni kijana na mwanamke mmoja yule mwanamke alikuwa mgonjwa kalala chini

Yule kijana ndio yule aliyemuokoa mshkaji miaka ya nyuma. Jamaa alimchukua yule mama na kumpeleka hospital Temeke na akamchukua yule dogo nyumbani kwake alikuja kuwasaidia sana

Thanks mkuu Mshana Jr., huwezi amini nimekuwa najiuliza nitapata wapi mtu wakuniambia briefly nini kilitokea tangu kipindi hicho! na leo nimebahatika kujua. Much respect.
 
Last edited by a moderator:
Thanks mkuu Mshana Jr., huwezi amini nimekuwa najiuliza nitapata wapi mtu wakuniambia briefly nini kilitokea tangu kipindi hicho! na leo nimebahatika kujua. Much respect.

Poa ila nimeitoa kwa ufupi mno kuna vitu vidogovidogo vingi nimeviacha yaani hatua kwa hatua tangu siku ile walipoachana matatizo aliyokuja kupata yule dogo mpaka siku wanaonana tena na ile commotion iliyotokea pale yani ni mambo ya kusisimua mno
 
Last edited by a moderator:
Mkuu dhamira yako ndio faraja yako..dhamira yako ni dhahiri ulikuwa unataka kulipa fadhila lakina ndo imeshindikana...kuwa na amani...unaweza pia kuwatafuta watu wake wa karibu sana mf watt na kuwasaidia kama ni wahitaji uenda itasaidia
ray lee hilo nina mpango nalo lakini pia tangu niweke hii post hapa JF nimepata relief ya ajabu mno nina amani ya moyo kuliko wakati mwingine wowote ule
 
Last edited by a moderator:
Fb nimemtafuta kwa jina hilo but nahic nakosea unless awe hajaweka picha ambayo naweza kumtambua!

CRB nimeuliza tena kuna baadhi ya watu ambao nawafaham kabisa huko but kwa hilo jina hatambui (kitu ambacho nahic wanajuana kwa majina ya makumpuni yao zaid) unless watu wawe wanafahamian from a long way!

Ilikuwa hiv
Nilikutana na huyu mheshimiwa wakiwa kwenye semina ya CRB Mkoa fulani, hapo mahali walipotumia kisemina ndipo nilipokuwa napatumia sana kupata mkate wangu wa kila siku (tubiashara coz palikuwa panaleta watu sana) mtaji wangu ukiwa laki moja baada ya kuikusanya almost miaka 2 (you won't believe this )

Siku 5 za semina yao,alifanya haya!
1. (Sidhan kama alitaka kweli kununua biashara yangu) akawa ananisema kwa stail ya maswali sanaaaaaaaa! And of the day akanipa ushaur kama napenda na naweza nirud shule! Of which naona aligundua napenda ila maisha hayajaruhusu, (nakumbuka alisema unaonekana ukiwa binti mzuri rudi shule itakusaidia ) I DID AS HE DREAMED (nakumbuka hiyo day 2 ya semina ilikuwa, mda wake wote wa lunch alitumia hapo kupiga story na mimi) mwenyewe nikiwa niko busy kukaribisha watu kwa ajili ya riziki,

2. Day 3 ya semina, the same time, (lunch time) akaja akiwa anataka mrejesho wa ushauri wake je nimeuchukuliaje ! Nilianza kumuona kama ananifuatilia sana maisha yangu, nakumbuka nilimjibu in a very like rude way! Wala hakuonesha kuchkizwa cha ajabu akanipa hela nikale (nakumbuka moyoni nilianza kumuona wale wale kasoro majina) akasema lifanyie kazi suala la shule!! Akaondoka

3. Day 4 ya semina yao, akaja na kunipa business card, aliongea sana siku ile, akiwa kagundua kuwa nampuuza, akasema acha na hizi biashara, nikisema nikusaidie mtaji iko siku utaibiwa na hakutokuwa na biashara tena, umri wako bado unaruhusu kurudi shule nenda shule! Akasema ukiwa tayar mda wowote niambie namba hizo hapo nimekula naongea na wewe kama mdogo wangu wala sio kama unavonifikia! Akaondoka ( only God knows nilivojisikia siku ile nililia sana Nilipofika home)

Siku ya 5 ya semina yao na ikiwa ndo ya mwisho mimi sikuenda , but nilipoenda nikakuta matatizo kwa secretary wa pale kwamba kuna mtu Anasema amekupa namba umpigie! Nilitumia simu ya yule dada, aliongea sana yule kaka, akasema ntapiga baada ya siku mbili uwe umetafuta shule!

In short,
Nilitafuta shule (kimasihara tu maana nilikuwa hata siamin) ajabu alituma hela nakumbuka kwa njia ya basi, akiwa amefunga na vitu vingine kukiwemo na simu (so mtu asingeweza kujua kama kuna hela na alimkabidhi dereva ) nikapokea na kurudi shule tena, na kila nilipohitaj maskin hajawahi kusita hadi nimeliza! (Ilikuwa level ya advance )

Niwakumbushe tu tangu ile semina hatujaonana kwa macho zaid ya kumweleza kwa simu nilipofikia na hajawah kunikatisha tamaa kabisa!
Na alilipa ada zoooooooote na pocket money juu! (Mtaniuliza wazazi wangu je! Yaachen it's another long story )

Nilitafuta kibarua, thank God nikapata, nikamwambia kwa simu tu (I took him more than a brother to me since then) good or bad nikapangiwa mkoa mwingine nikamjuza akanitia moyo sana kuwa maisha ni popote!

Tulivopoteana sasa,
Nikiwa kikazi kule tukavamiwa nilipokuwa naishi, was bad indeed (tuliibiwa kila kitu in short tulisafishwa na simu zikaibiwa)

Mungu ambariki huko alipo,endelea kumwomba Mungu awakutanishe kwa mara nyingine...
 
Duu pole ilikuwa bonge la stori baada ya pale jamaa alifanikiwa kuondoka salama na ndio ikawa mwisho wa kuiba, akaanza maisha mapya akawa mfanyabiashara wa kiwango chake siku moja akiwa anapita mitaa ile alikuta kuna watu wametupiwa vyombo nje hawana kodi na walikuwa ni kijana na mwanamke mmoja yule mwanamke alikuwa mgonjwa kalala chini

Yule kijana ndio yule aliyemuokoa mshkaji miaka ya nyuma. Jamaa alimchukua yule mama na kumpeleka hospital Temeke na akamchukua yule dogo nyumbani kwake alikuja kuwasaidia sana

Hapa ndipo ule usemi wa usimdharau mtu unapofanya kazi...
 
Upo right kabisa,maisha ni kama kitabu. Kila siku ni kusoma. Maadam tunaishi tukubali kujifunza kuthaminiana uwe tajiri au maskini
Aaaamen nimekukumbuka sana leeo
Ni kwa wema kabisa!
 

Attachments

  • 1475578061275.jpg
    1475578061275.jpg
    5.7 KB · Views: 70
Kuna siku nlienda mbeya mwakaleli,bahat mbaya pesa ziliniishia na sikua na pakulala wala kula,alitokea jamaa mkaanga ndizi na viazi akanisaidia bila kunijua,achilia mbali hali yake ya kipato cha chini,sitamsahau

Mungu ampe umri mrefu wa kwangu na wa babu yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom