mie nataka nandae chakula cha mchana cha watoto wa mazingira magumu
dola 300 zitasaidia, tumia account ya King'asti.
Mwenzangu, dili za pesa nazihusudu ile mbaya, ila hela ya huyu mwanamke sitaki kuigisa. For the next 10 years ataanza na thread '' nilimsaidia king' na konnie $300 wakasaidie yatima, wakaiba $100. Nilihakikisha kwa kutuma auditors wanne wa delloitte na wakakagua mahesabu kwa mwezi mzima. Niliwalaza kempinsk. Siamini wabongo na investments''
bora tu amtaje rutherford na heart patients. Hili dili fafa. Muambie achangie jf apate kibatani sijui cha nini ile. Hiyo atatamba nayo mwaka mzima.
Natalia, bahatimbaya si kidhi vigezo, kwani kamshara kangu kamezi kwa mbaaalii, hicho kiwango, mi nilifikili zawadi ni zawadi tu, kumbe ni kwa kundi maarumu!!!?
kumbe wee tajiri?
Mshahara wako unavuka dola 1000?
Sie walimu tutateswa hadi lini?
aaaaaaaaaaaa Basi Kongosho kwisha habari yako,,,,King'asti lazima akurushe.
Nadhani nitakuwa sijachelewa kwenye hilo dili la mpunga dah!......Kwa mpunga huo nadhani nitapata kitu cha Pako Rabbane mkuu,kama vipi tupia kabisa 1 million kwa hiyo chenji itakuwa pwaxWatu kumi tu mtapata dolla 100 kila mtu.lazima uwe bongo na uwe na mshahara less than 1000 dollar a month.Niitume wapi pesa hii wapi na mtaipokeaje.
Sasa si uende USA tu.mwalimu 5000 kwa mwezi
Kama ni hivyo sawa maana nilifikiri nikushauri kama bado hujafungua account number bora utumie ya Ciello au Preta....kwa lara1 ungekoma.Ungetumia pia ya Wiyelele angemuhomga HG wake kwani kamzimia kuliko mke wake.nimeshamnyonga miguu na anahangaikia roho yake sasa hivi
hata kabla hela haijatumwa achia mbali hata sina hakika kama ataiba kweli.
Weka jina Lako nitakutumia 130 sio big deal .western union siwezi kutuma hewani.mwombe boss wa jamii forum nitakutumia Huko akikubali halafu ukachukuo Huko.sitaki matapeliNatalia naomba nishukuru kabla hujanitumia..yaani nilikuwa naiwazaje bajeti ya Christmas?
By the way..utanitumiaje??..Ila na wewe naye..ONGEZA basi ziwe hata $130...hako kanyongeza ka$30 si unajua mambo yetu yaleeee......
Watu kumi tu mtapata dolla 100 kila mtu.lazima uwe bongo na uwe na mshahara less than 1000 dollar a month.Niitume wapi pesa hii wapi na mtaipokeaje.
Yaani wewe hupati kabisa
inaonekana hujawahi tumia dola, hazipiti kwenye MPesa