Nina dhambi nyingine sio uzinifu

Nina dhambi nyingine sio uzinifu

In such kind of relationship, pretending 60% and reality 40%. Congratulations to u bro for winning such a tough job!!
 
wew haukupiga ila wenzako walipiga duuuu ..... by ze wei kila la kheri ndugu
 
AMEEN kubwa. Mungu awalinde na kuwaongoza katika safari yenu mnayoenda kuianza. Akazidi kuwapa uvumilivu, na maisha yenu ya ndoa yakawe baraka na shuhuda kwa wengine.
 
Hahahaa we ni jamaa ni. Ndez kumbe bado hata hujamfunua ndoa bado unaanza kutushauri nn, ukikita keshafumuliwa bkra baada ya kumuoa utasema aliban miguu pia... then wengne tumefundishwa kufanya vtu kwa uhakika so lazim nionje kabla sijamuoa ili niwe na uhakika na ndoa yangu hasa kwene lile jambo la msingi yaan tendo la ndoa. Sinunui mbuz kwenz gunia
 
Hahaaaa! WATU WOTE WALIVOKUWA WANAO SIKU YA HARUSI WALIJISIKIA HIVO!

Waulize siku ya DIVORSE watu wale wale EXCEPT mawazo yao juu ya mtu yule yule yamebadilika kabisaaa! Naweza sema mawazo yao in a polite yamegeuka HOSTILE!:A S wink:

Im not bring7ng ghosts in your ship, but all i can say is USIMTUKANE MAMBA KABLA HUJAVUKA MTO!

Otherwise it is a happy thing, it calls for a celebration. :tea::tea::tea::tea::tea:

mkuu, hao unaosema inategemea uhusiano wao mwanzoni ulijengwa katika misingi ipi? uhusiano wetu tumeujenga kiimani zaidi. tulimuamini akatulinda na kutuepusha na lolote ambalo lingeweza tubadilisha mpaka tulivyofikia hii stage...hivyo tutaendelea kumuamini hatotubadilika kwa vyovyote vile itakavyokuwa mpaka tukafikia hapo kwenye divorce.
 
unakaribisha bila kuweka details za hiyo arusi, update details uone wazee wa ubwabwa tutavyojaa kuliko ndugu zako! After all if its true.....be blessed brother😛

hahaha!! mkuu kama unahitaji details zaidi naweza nikaku pm
 
Yaani amu Sipati picha baada ya harusi watakavyokuwa wanatafuta pakudumbukiza....

Hongera sana mleta uzi (kama unayoyaandika ni kweli)

Ila mwaliko gani huu bila kadi? Hujui kuku wa harusini watamu???



mhhh hapa nawaza ule mchezo ulivyo mtamu....4yrs??
Kaka nyie ndo mnaokuwaga vi.tombi uzeeni.
na hapo ulipo huna uzoefu wowote as mechi za mchangani zilikupita

Ila serious nawatakia ndoa njema (kwa mleta mada)
 
Last edited by a moderator:
Umemkagua!! Basi ushafanya zinaa kabla ya ndoa
 
teh teh!!? we nawe unapenda kuchimba!!! wacheni kuharibu vijana au kuwavunja moyo kwa wanaoamua kusubiri mpaka ndoa kwa hizi pictures na maneno yenu....
Mi simvunji mtu moyo nataka kujua tu ili nijitoe kwenye team "shake well before use"
 
Hahahaa we ni jamaa ni. Ndez kumbe bado hata hujamfunua ndoa bado unaanza kutushauri nn, ukikita keshafumuliwa bkra baada ya kumuoa utasema aliban miguu pia... then wengne tumefundishwa kufanya vtu kwa uhakika so lazim nionje kabla sijamuoa ili niwe na uhakika na ndoa yangu hasa kwene lile jambo la msingi yaan tendo la ndoa. Sinunui mbuz kwenz gunia

Umesoma title ya hii thread? Huyu anafurahi kwamba hajatenda dhambi na si kwamba amefurahi kwamba anaoa bikra....kama huyo dada alifunuliwa huko kivyake ni kesi ya kupatana yeye na Mungu wake...kijana ye katimiza wajibu wake
 
Sasa umejuaje mwenzio bikra?,alafu ulivyo jinga umejipgisha nyeto weeee uku.unamhadaa mwenzio...nasubiria sred yako ya ushaur wa mapenz wk ijayo....dorooo
 
Hongera sana mkuu....mahusiano bila ngono yanawezekana....hata honeymoon yenu itakuwa ya ukweli sio watu mmevuana picchu miaka mitatu af mnaenda honey moon what for?

For crazy mgegedo, more freeeeely.
 
Wenzio wamembinua binuaa mpaka kawa screpa we subiri hiyo tarehe uone pango la nyoka lilivotumika kama geti la mlima kilimanjaro.
 
Back
Top Bottom