Nina dhambi nyingine sio uzinifu

Nina dhambi nyingine sio uzinifu

Ushauri mzuri kwa vijana wenzako lkn unaonekana huna uzoefu wa maisha ya ss. Kama unakubali una dhambi nyingine, hiyo inaweza kuwa mbaya zaidi ya uzinifu. Tubu kwa Mungu ili akuondolee na hizo dhmb nyingine

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Yawezekana kwako alikuwa anabana ila kwa mshikaji anapakuwa labda kama ulimkuta bikra
 
Huyu jamaa bado hajafunga ndoa,ss amejuaje ni bikra! Au nyie hamjaelewa? Kuwa wazi kihana,
 
Yaani huyu anaonekana hajielewi kabisa watu kuandika hapa uongo sijui wanajisikiaje halafu haoni hata soni agh!:angry:

Huwa anaanzisha thread hlf baada ya siku kadhaa analeta nyingine ambayo ipo against ile ya nyuma......
 
Umesoma title ya hii thread? Huyu anafurahi kwamba hajatenda dhambi na si kwamba amefurahi kwamba anaoa bikra....kama huyo dada alifunuliwa huko kivyake ni kesi ya kupatana yeye na Mungu wake...kijana ye katimiza wajibu wake

Ni kweli anahitaj pongez
 
Kuzin si mpk uvue pichu mtu,ht kutaman asiye wako ni dhambi yakuzin....lkn umetenda vema,hongera sana...kua mwaminif pia ndoani.
 
Kauziw mbuzi kwenye gunia ,umedhibitisha vipi kwamba huyo ulienae ni sahii prove with vivid explanation
 
duh.. hongera sana aisee.. kwa hyo nyie wote mabikira.. ama kweli birds of the same feathers flock togetherrrr... ndoa njema.
 
Back
Top Bottom