Nina dhambi nyingine sio uzinifu

Nina dhambi nyingine sio uzinifu

.hahahaha aibu aibu kwa kweli huu uzi angeweka sawa kidogo ungependeza mana kuna kitu hapo kina ukweli na ni muhim sana iapokua kaharibu kabisaaa kujifanya saint fulani hicho kichwa cha habar tu chatosha kuwa huyu mtu ni mnafiki hata ukitoa sadaka watakiwa mkono wa kushoto usione (wengine) itakua haya mavijuvuno na kujifanya mtakatifu?
hapana nimesoma vizuri alikuwa anamzungumzia rafiki yake my mistake.......

nimefuta haraka haraka , lakini kumbe umeshainasa ,,, dah! upo fasta sana bestii...
 
mkague 0713 a.k.a kabaang kwanza,
ukute raia walikuwa wanaingia mlango wa nyuma
 
hongera, ila naomba kuuliza eti hapo kwa mfano nati na bolt zisipokuwa compactible itakuwaje?nauliza tu.....
 
hapana nimesoma vizuri alikuwa anamzungumzia rafiki yake my mistake.......

nimefuta haraka haraka , lakini kumbe umeshainasa ,,, dah! upo fasta sana bestii...


Hahahaha nakwambia.......ila hapo chini tumealikwa harusi usisahau kuhudhuria
 
Kuzini sio tu kufanya ngono. Pale ulipomtamani tayari umekuwa umezini. Yamkini ulipiga sana punyeto, zote hizo ni zinaa
 
hamna kitu kama hiko. nimekagua sana tu...ndio maana nina uhakika.
hujanielewa shemeji yani mfano etiii ndo ikawa hivi....
IMG-20140816-WA0010.jpg

mfano tu lakini!!!!
 
Hongera sana mkuu....mahusiano bila ngono yanawezekana....hata honeymoon yenu itakuwa ya ukweli sio watu mmevuana picchu miaka mitatu af mnaenda honey moon what for?

asante mkuu...
 
Back
Top Bottom