Naona muanzisha uzi ametoka speed kama anawahi mkoani na bus za kichina baada ya kumfungulia ma-file na kumbaini hana lolote ni muongo tuu, au ndio anaoa huo mchepuko alioupa mimba, mchepuko ulipata mimba wakati kazi ya ukaguzi ukiendelea. Hahahahhahahahaha.