mutant gene
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 876
- 326
Wakuu miaka 28 si midogo, baada ya uvumilivu wa muda mrefu hatimaye Mungu amenifanikisha kuingia katika taasisi ambayo vijana wengi wanaiogopa(ndoa)
Kwa ufupi mimi na huyu mwenzangu tumedumu katika uhusiano 4 yrs ingawa tulikuwa tukifahamiana tokea zamani.uhusiano wetu haukujengwa katika misingi ya kingono hivyo wote tuliamua kusubiri mpaka ndoa kwa miak yote hiyo(wazinifu wataponda)
Nitakuwa si mtu mwenye fadhila kama sitomshukuru Mungu kwa kuniepusha na mdudu mchafu zinaa kwa muda wote huo na kunipatia wife mrembo,anayejiheshimu, mwenye kujua dini, aliyeelimika kutokana na elimu aliyoipata na anayejua maisha ni nini kwa ujumla.
Mwisho ninawaambia vijana wenzangu kuwa, mahusiano bila ngono yanawezekana hadi yakafikia ndoa. kama wote wawili mkiwa na imani ya kweli juu ya mwenzake.
Msiwachezee mabinti za watu kisha kuwaacha na kuanza kuwapa majina ya ajabu. na nyie kina dada mjifunze kubana miguu yenu kama alivyofanya wife yangu sio kila me unamchanulia...matokeo yake mnakuja kulalamika kuchezewa na kuzeeshwa kila siku.
Mnakaribishwa wote kwenye sherehe ya harusi weekend hii tarehe 28/9.
Asanteni
Kwa ufupi mimi na huyu mwenzangu tumedumu katika uhusiano 4 yrs ingawa tulikuwa tukifahamiana tokea zamani.uhusiano wetu haukujengwa katika misingi ya kingono hivyo wote tuliamua kusubiri mpaka ndoa kwa miak yote hiyo(wazinifu wataponda)
Nitakuwa si mtu mwenye fadhila kama sitomshukuru Mungu kwa kuniepusha na mdudu mchafu zinaa kwa muda wote huo na kunipatia wife mrembo,anayejiheshimu, mwenye kujua dini, aliyeelimika kutokana na elimu aliyoipata na anayejua maisha ni nini kwa ujumla.
Mwisho ninawaambia vijana wenzangu kuwa, mahusiano bila ngono yanawezekana hadi yakafikia ndoa. kama wote wawili mkiwa na imani ya kweli juu ya mwenzake.
Msiwachezee mabinti za watu kisha kuwaacha na kuanza kuwapa majina ya ajabu. na nyie kina dada mjifunze kubana miguu yenu kama alivyofanya wife yangu sio kila me unamchanulia...matokeo yake mnakuja kulalamika kuchezewa na kuzeeshwa kila siku.
Mnakaribishwa wote kwenye sherehe ya harusi weekend hii tarehe 28/9.
Asanteni