TheFastest
Member
- Jun 17, 2016
- 86
- 86
Heshima kwenu.
Nataka kununua simu mpya Samsung ama brand nyingine. Bajeti yangu laki sita na nusu.
Wajuzi wa mambo kwa ka hela haka nitapata simu nzuri ipi. Hasa Samsung. Sipendi kabisa iPhone so usinishauri iPhone.
Dada hongera kwa kubarikiwa mkono wenye ngozi laini zaidi ya Sufi...
Biashara ya laki sita siwezi bossNjoo nikupe businesses plan simu nitakuazima yangu utumie kwa muda alafu hiyo pesa tuzungushe.
Lete business plan nina access ya mkopo wa 25mil. Kwa kurejesha miaka 4 njoo na business plan yako ya kuelewekaNjoo nikupe businesses plan simu nitakuazima yangu utumie kwa muda alafu hiyo pesa tuzungushe.
Bahati mbaya huwa sinywi bia. Ungeniambia vingine angalau ningefikiriaNywea Bia Mkuu..........Gongaaa mezaaaaaa
Kwa 600,000 a30 hapana bei kubwaNdiyo nimeonyeshwa hii
Phantom 8Heshima kwenu.
Nataka kununua simu mpya Samsung ama brand nyingine. Bajeti yangu laki sita na nusu.
Wajuzi wa mambo kwa ka hela haka nitapata simu nzuri ipi. Hasa Samsung. Sipendi kabisa iPhone so usinishauri iPhone.
Kashazungusha ndo anazitumia sasaNjoo nikupe businesses plan simu nitakuazima yangu utumie kwa muda alafu hiyo pesa tuzungushe.
Phantom 8
Unatafuta ngumi ya nyusi,upasuke damu zitoke.Dada hongera kwa kubarikiwa mkono wenye ngozi laini zaidi ya Sufi...
Kwanini unaiuza?Nipe 480k nikupe iphone 6+, bado mpya kabisa
Ilo bomu kk weka mbali vuta A50Ndiyo nimeonyeshwa hii
Used zote hiziNina Huawei Y9 prime
Samsung s9 plus
Samsung A70
Chagua utakayo unipe pesa